Abiria kutoka Tanzania watahitaji kupimwa maambukizi ya virusi vya Corona mara mbili ili kuruhusiwa kuingia UAE (Umoja wa Falme za Kiarabu)

Nimeiona hiyo kuwa Tanzania ni moja ya mataifa ambayo abiria kutokea kwetu lazima kufanyiwa vipimo zaidi ya mara moja
 
Lazima mkubali kuwa nchi yenu siyo kisiwa
Huku tunakoenda watatulazimisha tuchanje chanjo ya corona...
Kosa letu nini? Kutoweka lockdown? Walokoweka lockdown corona imeisha?
 
Sasa hapo shida iko wapi?
Kwa maleta mada unafikiri hii itabadirisha hali yetu na kuambiwa tuna waginjwa elfu 20 kama jirani zetu Kenya?
 
COVID-19 siyo habari ya mjini tena. Siyo kete ya siasa tena. Huo ugonjwa upo na utaendelea kuwepo kote duniani.

Watu walisifia South Korea wamedhibiti lakini tumesikia siku za karibuni ilivyo anza kuenea tena, hali kadharika Ujerumani, China, Marekani, Uingereza na Spain.
 
Huku tunakoenda watatulazimisha tuchanje chanjo ya corona...
Kosa letu nini? Kutoweka lockdown? Walokoweka lockdown corona imeisha?
Kuwa kada wakati mwingine ni mzigo.

Issue hapa sio Lockdown, bali "CONTROL". Sisi hapa hatuna taarifa yoyote na hatujui hata tunaugua kiwango gani?? Ni hapo ndipo nchi zingine zinaona tunaweza kuwa tunasambaza corona wakati wao wanapambana kuitokomeza kwa njia ya kupima na control zingine. Bila kupima huwezi hata kujua ukubwa wa tatizo.
 
Mwakilishi wa Kenya juzi karudia angani kwa kuogopa maambukizi ya covid-19 yalivyosambaa nchini Tanzania....Tanzania tutatengwa hadi na mafisi!Kiburi sio maungwana....tutaelewana tu!
 
Kuna wakat unawaza watanzania wanahitaji nini hasa.

Watanzani wengi wanajua njia za mkato tu

Ukifanya wewe za mkato hawataki

Watanzani waaamini wao wanajua mambo mengi kuliko wengne

Ukimkosoa anasema unatumika na chama fulan.

Watanzania ndio watu ambao huwa wanategemea matukio ili wakaseme tuliwambia huku wakijua walikuwa hawajui kama itakuwa hivyo
 
DOUGLAS SALLU,
Wana JF, hebu tuwe na heshima!, hata kama watu wanatumia just a pen names, kama mtu anatumia jina la kiume mfano Yohane Mbatizaji, hata kama in reality mtu huyo unamjua kuwa KE, humu jf aheshimiwe kwa jina analotumia ambalo linaonyesha gender yake ni HE!. Kitendo cha kumuita Mkuu John The Baptist kuwa ni dada ni kumdhalilisha!, na udhalilishaji huo haukuishia kwake, umemuingiza hadi Mwenezi wetu taifa, na kumuonyeshea ni mtu anayejivinjari na wadada hadi Dubai kama yule naniliu!.

Watu pekee ambao ni ruksa kuwahisi gender zao, ni wale, wanaotumia neutral names ambazo they don't depict gender kama kama jina la Wakudadavuwa, hadi mtu ajitambulishe mwenyewe gender yake, kama Mkuu Wakudadavuwa alivyojitambulisha kwangu kuwa yeye ni mkaka na mkubwa kwangu, hivyo mimi ni mdogo wake.

Kufuatia mimi siku hizi kuwa ni kada mpya wa Chama cha Mapinduzi, kila nikuona humu CCM inabagazwa, au viongozi wa CCM wana bagazwa, siwezi kukaa kimya, nitajitokeza kuwatetea na kukitetea chama changu humu Mitandaoni.
P
 
Mnacho kifurahia ndicho kitakachozuwia wangalizi wa uchaguzi toka huko duniani, ndiyo maana michadema tukiwaambia akiri hamna mnakasirika

Tangu umeanza kupiga kelele kuwa Corona ipo tena ni ya kutisha Nani kwenu kafa, huna jibu, basi je wewe umeambukizwa Napo huna jibu

Sasa mnachokifurahia, naomba tu hata Mh JpM akiunge mkono tena aende mbaali kabisa Kwa kutangaza kuwa tunakiwango cha juuu kabisa cha maambukizi na apige marufuku Kwa watu kuingi ndani na pia hakuna kutoka nje, na uchaguzi ufanyike,muone sasa mnachokitafuta
Pumba....vu zenu nyinyi, halafu tena mpige kelele sjui wangalizi itakuweje

Kila siku sjui Corona, Corona ni kama wimbo, Tulisha Sema Corona hakuna Tz na hata kama ipo, Mungu kaifanya namna ambayo haisababishi matatizo makubwa kama huko Kwa wenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…