Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Zipo unazitaka?Vip leo huna stori zako zile za majini na chuma ulete?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo unazitaka?Vip leo huna stori zako zile za majini na chuma ulete?
Maadamu wote mnaishi Dar mlipie tu kwani kuna siku na wewe atakununulia Chips chakula chenu.Wanajanvini, asbh na mapema nilikuwa naelekea Bagamoyo sasa kuna binti nilimkuta kakaa tayari nami nikikaa kwenye sit aliekaa yule binti sasa ndipo akaanza kunishobokea nimlipie nauli eti yeye nauli yake haitoshi sasa nikamwambia anipe ile nauli isiyotosha ili nilipe yeye hataki ananitolea shida nyingine anasema hana pesa ya kula njiani sasa huu msaada au mzinga. ....?
Ndio tunaelekea huko tehSAVER za JF zinakazi kwa hawa wanaume wa dar es salaam,Itafikia kipindi wakiona sisimizi wanakuja mbio JF kuanzisha thread.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah.. Ulikuwa unaenda Bagamoyo? Unabahati sana kwani huyo alikuwa jini [emoji4]
Cc: Prof mshana jr