Abiria mwenzangu ananiomba kumlipia nauli...!!

Maadamu wote mnaishi Dar mlipie tu kwani kuna siku na wewe atakununulia Chips chakula chenu.
 
hapa ndo nlisema mizinga imekuwa too much atoto na rafiki yake wanadai nawafanya legelege wasitimize majukumu. haya ni majukumu ya huyu kaka? huyo ni mkewe au mpenzi wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…