Abiria wa daladala tubadilike

Huyo kafanya makusudi akidhani anawakomesha waislam
 
Mzungu pori au ? Waswahili uwa mnanichekesha sana kuwafanya wazungu kama miungu yenu
 
Mpuuzi mkubwa wewe.
Dala dala na muda wakumuangalia mtu ni wapi na wapi?
 
You sound like hiyo tabia ni ya wadada tu! Nimeona wanaume wakitafuna muhindi na kutupa gunzi nje, ingetosha kukemea hii tabia kwa ujumla bila kuininafsisha kwa 'wadada' kama maelezo yako yalivyo.
 
Wewe ni mpumbavu na mpuuzi sana!....
 
Kuna mdada mmoja nilkua nasafiri kutoka Mwanza kwenda moshi .yule dada kaanza kula ovyo kuanzia shy hadi Singida.. kimbembe kutoka apo Singida ilikua ni tatizo ana rudisha chench kupitia dirishan while gari liko speed imagine safari yangu ilivyo kua mbaya ..
 
Ulimwambia? Kama ulikosa ujasiri wa kumchana pale pale halafu unakuja kuleta majungu huku, unataka sisi tukusaidiaje?

NB. Hii tabia ya kula hovyo ni mbaya, unakuta mdada anatoa chapati kwenye mkoba ndani ya daladala anaanza kula, akimaliza natoa tissue anajifuta halafu anatupa chini.. huu sio ustaalabu.
 
Ulimwambia? Kama ulikosa ujasiri wa kumchana pale pale halafu unakuja kuleta majungu huku, unataka sisi tukusaidiaje?.
Thubutu mfano ni mwanamke wa kizaramo halafu ujitie ujasiri kumchana atakachokujibu utaomba ushuke kituo kinachofuata hata kama hushuki hapo na suti xako za kistaarabu na kutoka hapo utaelewa ule msemo wa mind your own business maana yake nini?
 
Suala la ustaarabu, Wabongo tupo nyuma mno

Sasa Umbali huo tu, mtu anafakamia machipsi barabarani utasema hawezi kula akifika mwisho wa safari yake 🙌
 
Suala la ustaarabu, Wabongo tupo nyuma mno

Sasa Umbali huo tu, mtu anafakamia machipsi barabarani utasema hawezi kula akifika mwisho wa safari yake 🙌
Dar ni mji wa pilipilika mtu anafabya kazi kwa muhindi unataka akafike nacho ale kwa muhindi ?.mhindi atamwachisha kazi atamuona mwizi huwa anamuibia hela kuwa haiwezekani kwa mshahara anaompa amudu kununua chips kuku ndio maana anakula kabisa
 
Cha ajabu nini kula na kunywa kwenye basi.Mabasi ya safari ndefu mbona watu wanskula na kunywa ndani ya basi wakati linatembea
Kuna sehemu nimezungumzia kula na kunywa kwenye mabasi.

Au unapachika maneno yako uchwara yasiyo na mantiki.
 
Dar ni mji wa pilipilika mtu anafabya kazi kwa muhindi unataka akafike nacho ale kwa muhindi ?.mhindi atamwachisha kazi atamuona mwizi huwa anamuibia hela kuwa haiwezekani kwa mshahara anaompa amudu kununua chips kuku ndio maana anakula kabisa
Kwasababu hiyo naweza kuielewa
 
Tanzania imejaaa wajinga wengi sana mkuu
 
Mpuuzi mkubwa wewe.
Dala dala na muda wakumuangalia mtu ni wapi na wapi?
Shukrani sana mkuu.

Nadhani lugha sahihi uliyopaswa kuitumia ni kupinga hoja yangu kwa hoja yako na wala si kunitukana.

Umedhihirisha kichwani kwako kukoje
 
You sound like hiyo tabia ni ya wadada tu! Nimeona wanaume wakitafuna muhindi na kutupa gunzi nje, ingetosha kukemea hii tabia kwa ujumla bila kuininafsisha kwa 'wadada' kama maelezo yako yalivyo.
Soma thread vizuri.

Kwenye title nimesema.

Abiria wa daladala tubadilike.

Kwenye body nikaongelea tabia hiyo kwa kutumia mfano wa huyo mdada uliotokea juzi kati hapo.

Na nikasema kabisa vitendo hivi vinafanywa na wengi.
 
Mkuu majungu yapi niliyoleta.
 
Dar ni mji wa pilipilika mtu anafabya kazi kwa muhindi unataka akafike nacho ale kwa muhindi ?.mhindi atamwachisha kazi atamuona mwizi huwa anamuibia hela kuwa haiwezekani kwa mshahara anaompa amudu kununua chips kuku ndio maana anakula kabisa
Shida sio kula kwenye gari shida ni kutupa mataka taka nje ya gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…