Abood aja na Yutong F12

Abood aja na Yutong F12

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
FB_IMG_1482347699565.jpg
FB_IMG_1482347676474.jpg
FB_IMG_1482347666484.jpg
 
Hizi ma yutong zimeanza kunoga sikuhizi.
 
sorry hii ni Yutong F12 Plus
 
Yeye alikuwa ni mtu wa Scania, naona kaamua kuja kwa Wachina
 
Yeye alikuwa ni mtu wa Scania, naona kaamua kuja kwa Wachina
Alisha nunua yutong f12 kibao kama miaka 3 iliyopita, Hii ni yutong 12 plus ambayo kwa Mara ya kwanza ndio inaingia bongo. hii maneno si mchezo
 
Inatofauti gani na Yutong nyingine? Kwahili na.msifu mvimba macho ila kwa Boda Boda, Aisee hapana
Hii yutong ni version ya juu ya F12 zenye namba zinazo ishia 120D1.. kwa bongo abood nadhani ndio wa kwanza kuingiza..
 
Duuuh...!! nina wivu yaani bado kidogo nikuulize "Wewe lini utanunua yako siyo kupiga chapuo kwa me mwenzako" Shindwa shetani... nimeacha kuuliza niwie radhi kwa mawazo mgando...
 
Back
Top Bottom