Abood Bus Fundisheni Madereva Kuthamini Sauti za Abiria

Abood Bus Fundisheni Madereva Kuthamini Sauti za Abiria

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Tupo kwenye bus T818 DXJ lililotoka Mbezi saa 6:00 mchana huu kuelekea Morogoro, ukweli ni kwamba dereva ni mtu rough sana
  1. Anaendesha kwa speed ya juu mbaya zaidi akiambiwa kuwa makini na mwendo hamsikilizi mtu huenda ana haraka ya kufanya trip nyingi kwakuwa leo ni siku yenye shida ya usafiri
  2. Pamoja na mwendo huo hajalali malalamiko ya abiria juu ya kufukia matuta kiasi cha abiria wa siti za nyuma kujibamiza kwenye roof, kuna wajawazito, wapo wazee lakini anachotazama ni kuwahi Morogoro ili arudi Dar
  3. Utaratatibu wa kuovertake si mzuri amekoswakoswa na truck aliposhindwa kukadiria distance eneo la wamasai Chalinze, pia amenusurika kugongana na gari jingine karibu na Imperial School.
BAadhi ya madereva wa Abood ni wasikivu na wenye kujali lakini huyu anahitaji mapitio ili kufanyiwa maamuzi kama anastahili kusafirisha abiri

Sina lengo la kuichafua kampuni, lengo ni kuboresha ili abiria tuwe na amani tunapochagua kusafiri na kampuni yako
 
Tupo kwenye bus T818 DXJ lililotoka Mbezi saa 6:00 mchana huu kuelekea Morogoro, ukweli ni kwamba dereva ni mtu rough sana
  1. Anaendesha kwa speed ya juu mbaya zaidi akiambiwa kuwa makini na mwendo hamsikilizi mtu huenda ana haraka ya kufanya trip nyingi kwakuwa leo ni siku yenye shida ya usafiri
  2. Pamoja na mwendo huo hajalali malalamiko ya abiria juu ya kufukia matuta kiasi cha abiria wa siti za nyuma kujibamiza kwenye roof, kuna wajawazito, wapo wazee lakini anachotazama ni kuwahi Morogoro ili arudi Dar
  3. Utaratatibu wa kuovertake si mzuri amekoswakoswa na truck aliposhindwa kukadiria distance eneo la wamasai Chalinze, pia amenusurika kugongana na gari jingine karibu na Imperial School.
BAadhi ya madereva wa Abood ni wasikivu na wenye kujali lakini huyu anahitaji mapitio ili kufanyiwa maamuzi kama anastahili kusafirisha abiri

Sina lengo la kuichafua kampuni, lengo ni kuboresha ili abiria tuwe na amani tunapochagua kusafiri na kampuni yako
Huwa kuna namba za polisi kwenye mabasi, wapigie mkuu.
 
Tupo kwenye bus T818 DXJ lililotoka Mbezi saa 6:00 mchana huu kuelekea Morogoro, ukweli ni kwamba dereva ni mtu rough sana
  1. Anaendesha kwa speed ya juu mbaya zaidi akiambiwa kuwa makini na mwendo hamsikilizi mtu huenda ana haraka ya kufanya trip nyingi kwakuwa leo ni siku yenye shida ya usafiri
  2. Pamoja na mwendo huo hajalali malalamiko ya abiria juu ya kufukia matuta kiasi cha abiria wa siti za nyuma kujibamiza kwenye roof, kuna wajawazito, wapo wazee lakini anachotazama ni kuwahi Morogoro ili arudi Dar
  3. Utaratatibu wa kuovertake si mzuri amekoswakoswa na truck aliposhindwa kukadiria distance eneo la wamasai Chalinze, pia amenusurika kugongana na gari jingine karibu na Imperial School.
BAadhi ya madereva wa Abood ni wasikivu na wenye kujali lakini huyu anahitaji mapitio ili kufanyiwa maamuzi kama anastahili kusafirisha abiri

Sina lengo la kuichafua kampuni, lengo ni kuboresha ili abiria tuwe na amani tunapochagua kusafiri na kampuni yako
Mmefika wapi muda huu tutume kikosi kazi
 
Unakuta dereva ni mzuri ila tajiri ameshampa maelekezo ya kufanya chap arudi.
Wenyewe wanakuambia chombo kina maelekezo, yani haizingatii 50kph wala 80kph
 
Hivi mtu mmoja (Dereva) anawashindaje watu zaidi ya 50? (Abiria)
 
Hayo mayutong bado sana kwenye teknolojia ya utengenezaji wa basi comfortable hasa kwenye matuta, wameachwa mbali sana na msweeden kwenye swala la chses kuwa na mneso full utulivu angalia gelamin na basi za kilimanjaro zile marcopolo haiwezi pita kwenye tuta nyuma kula mkaumia ila hayo mayuton ni hatari
 
Miaka ya nyuma Kidogo niliwahi kupanda basi na abiria wa Aina yako, Kutoka Mbeya to Dar...

Dereva akawa anamwaga moto balaa, akatokea mtu wa sampuli ya mtoa mada hapa, akaenda kumpigia dereva makelele.

[emoji38][emoji38] Mbona tuliisoma namba! Jamaa akaanza kwenda speed ya 40kph top speed.

Ilibidi tuunde kikosi cha kuzungumza na Dereva ili mambo yawe sawa.

Good thing Basi lilikuwa na madereva wawili, so tulivyofika Iringa, akachukua mwenzake.

Kwenye safari kuna mambo mengi na watu wa aina nyingi. Wewe abiria kama umeona dereva analimudu Basi vizuri swala la mwendo wala lisikutishe. Angalia control yake tu ilivyo.
 
Hayo mayutong bado sana kwenye teknolojia ya utengenezaji wa basi comfortable hasa kwenye matuta, wameachwa mbali sana na msweeden kwenye swala la chses kuwa na mneso full utulivu angalia gelamin na basi za kilimanjaro zile marcopolo haiwezi pita kwenye tuta nyuma kula mkaumia ila hayo mayuton ni hatari
Tairi Nyuma hata Scania ikiwa ni single Diff lazima irushe mkuu.
 
Tairi Nyuma hata Scania ikiwa ni single Diff lazima irushe mkuu.
Yutong zimezidi nishapanda gelamin za dar express zina ahueni

Nimepata esta yutong tulifika pale same dereva akaingia kwnye tuta vichwa vilibamiza kwenye dari mayutong sio.magari yale
 
Yutong zimezidi nishapanda gelamin za dar express zina ahueni

Nimepata esta yutong tulifika pale same dereva akaingia kwnye tuta vichwa vilibamiza kwenye dari mayutong sio.magari yale
Ilikuwa Double Diff?
 
Uwe unapanda Malori abiria wengine tunataka kufika haraka

Mbona abiria walio wengi huwa hawalalamiki?

Wewe ndie ujifunze kupanda malori
Katawadhe kwanza ndipo urudi kuchangia hoja
 
Huwa kuna namba za polisi kwenye mabasi, wapigie mkuu.
Hazimo mkuu, tumemfuata mara kadhaa hajali tukalalamika kwa sauti kulikuwa na mama mmoja mjamzito alikuwa anateseka tukaona njia mbadala ni kuwafahamisha wenye kampuni kupitia hapa
 
Back
Top Bottom