Abood Bus Fundisheni Madereva Kuthamini Sauti za Abiria

Abood Bus Fundisheni Madereva Kuthamini Sauti za Abiria

Unakuta dereva ni mzuri ila tajiri ameshampa maelekezo ya kufanya chap arudi.
Wenyewe wanakuambia chombo kina maelekezo, yani haizingatii 50kph wala 80kph
Huenda upo sahihi mkuu, lakini ipo haja watazame ustawi wwa aabiria, imagine mama mjamzito analalamika lakini hapewi attention je utu uko wapi?

Isitoshe yule dereva anaonekana kabisa kichwa chake siyo kizima
 
Hivi mtu mmoja (Dereva) anawashindaje watu zaidi ya 50? (Abiria)
Mkuu, hao watu wana backup kubwa, bus lina abiria 60 yeye yu peke yake lakini Dar ina population ya 1000000+ lakini hawakumuweza DAB😂😅🤣
 
Hayo mayutong bado sana kwenye teknolojia ya utengenezaji wa basi comfortable hasa kwenye matuta, wameachwa mbali sana na msweeden kwenye swala la chses kuwa na mneso full utulivu angalia gelamin na basi za kilimanjaro zile marcopolo haiwezi pita kwenye tuta nyuma kula mkaumia ila hayo mayuton ni hatari
Upo sahihi kabisa
 
Kwenye safari kuna mambo mengi na watu wa aina nyingi. Wewe abiria kama umeona dereva analimudu Basi vizuri swala la mwendo wala lisikutishe. Angalia control yake tu ilivyo.
Sawa lakini fikiria situations zaidi ya hiyo, kwenye safari kunakuwa na wagonjwa wanaokwenda kutafuta matibabu au wanarudi toka hospitali, wana mishono, wengine wajawazito, vaa uhusika kwamba mmoja wa hao ni wewe au ndugu inaumiza mkuu unapoona binadamu hana utu kwa mgojwa wako
 
Mkuu, hao watu wana backup kubwa, bus lina abiria 60 yeye yu peke yake lakini Dar ina population ya 1000000+ lakini hawakumuweza DAB[emoji23][emoji28][emoji1787]
Sio kweli,dereva wa mabasi kama anaendeaha vibaya bila kuzingatia usalama wa abiria wake mnaweza kumuwajibisha, mbona sasahivi ni rahisi sana kuwatolea taarifa kuhusu uendeshaji wao?
Kuna vyombo vya usalama vinavyohusiana na usalama barabarani vingi sana vya kumuwajibisha dereva,uoga wenu ndio kifo chenu.
RIPOTI MATUKIO YOTE YA UVUNJIFU WA SHERIA ZA BARABARANI SEHEMU HUSIKA,RIPOTI PIA KWA RSA TANZANIA,ATASHUGHULIKIWA TU.
 
Mkuu, hao watu wana backup kubwa, bus lina abiria 60 yeye yu peke yake lakini Dar ina population ya 1000000+ lakini hawakumuweza DAB[emoji23][emoji28][emoji1787]
Habari ya huyo DAB unayemsemea kama ndiye huyo ninayemfikiria mimi basi ni mifano miwili tofauti kabisa,mtu ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama ya mkoa uta compete naye vipi hasa akiwa katika utendaji wake?
 
Abiria tunatofautiana sana kwenye MaBus:-

1) Wengine Wanataka Speed, wengine wanataka Slow.

1) Wengine wanataka AC, wengine wanataka Kufungua Madirisha.
 
Sawa lakini fikiria situations zaidi ya hiyo, kwenye safari kunakuwa na wagonjwa wanaokwenda kutafuta matibabu au wanarudi toka hospitali, wana mishono, wengine wajawazito, vaa uhusika kwamba mmoja wa hao ni wewe au ndugu inaumiza mkuu unapoona binadamu hana utu kwa mgojwa wako
Kuna mahali hujanielewa.
Kuna madereva wanakimbia lakini wana control nzuri
Hawezi kupiga tuta
 
Sawa
Kuna mahali hujanielewa.
Kuna madereva wanakimbia lakini wana control nzuri
Hawezi kupiga tuta
Mkuu, sorry ni kweli nilielewa vingine
 
Miaka ya nyuma Kidogo niliwahi kupanda basi na abiria wa Aina yako, Kutoka Mbeya to Dar...

Dereva akawa anamwaga moto balaa, akatokea mtu wa sampuli ya mtoa mada hapa, akaenda kumpigia dereva makelele.

[emoji38][emoji38] Mbona tuliisoma namba! Jamaa akaanza kwenda speed ya 40kph top speed.

Ilibidi tuunde kikosi cha kuzungumza na Dereva ili mambo yawe sawa.

Good thing Basi lilikuwa na madereva wawili, so tulivyofika Iringa, akachukua mwenzake.

Kwenye safari kuna mambo mengi na watu wa aina nyingi. Wewe abiria kama umeona dereva analimudu Basi vizuri swala la mwendo wala lisikutishe. Angalia control yake tu ilivyo.
Binafsi mtu anayekimbiza gari utafikiri amebeba mapipa ya mbege au vijana watafuna MIRUNGI siendani naye kabisa.

Na ndio maana Mimi huwa sipandi gari yoyote.

Napanda gari linalo thamini UHAI kwanza.

Hao madereva wengine huwa wanabeti, Ni Nani wa kwanza kufika.
 
Uwe unapanda Malori abiria wengine tunataka kufika haraka

Mbona abiria walio wengi huwa hawalalamiki?

Wewe ndie ujifunze kupanda malori
Mtu ameleta "issue tangible" wewe unajibu kimasihara hivyo? Abiria tusaidie vyombo vya usalama barabarani kudhibiti ajali. Ndio maana namba za simu zimewekwa kwenye mabasi.

Kuna madereva wengine wamepinda kweli kweli, hata Shabiby kuna madereva wawili wa mabasi ya Dsm-Dodoma wana masihara barabarani. Muda mwingi kuongea na simu, hata kuchati kidogo.

Upo sawa sawa kweli kichwani wakati unajibu au? Haya sio majibu ya mtu mstaarabu na aliyestaarabika!!
 
Back
Top Bottom