Abood Peleka Mabasi Sehemu Nyingine Tutakusaidia, Siyo Lazima Dar - Moro

Abood Peleka Mabasi Sehemu Nyingine Tutakusaidia, Siyo Lazima Dar - Moro

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Hiyo ni kauli ya Bimkubwa wakati akiwa kwenye uzinduzi wa SGR njia ya Dar kwenda Dodoma mapema leo.

Amesema ana taarifa kwamba mzee Abood alishapunguza baadhi ya mabasi kwa njia hiyo ila serikali itamsadia asiwe na hofu.

NB; Kilichonishangaza mimi ndg TODAYS ni bimkubwa kumuita mzee Abood "mdogo wangu" nadhani labda ukubwa huo ni kikazi au kisiasa, vinginevyo kiumri mzee aboud ni mkubwa zaidi ya maza!.
 
Mtakaopinga hiyo kauli kabla ya kupinga sasa ..

Teknolojia imechukua baadhi ha kazi za watu, uwepo wa maji safi umeondoka na ajira za wauza maji wa magari.

Ila mfanyabiashara makini lazima awe na uwezo wa kutabiri pattern ya maendeleo na kufitisha mipango yako.
 
Hiyo ni kauli ya Bimkubwa wakati akiwa kwenye uzinduzi wa SGR njia ya Dar kwenda Dodoma mapema leo.

Amesema ana taarifa kwamba mzee Abood alishapunguza baadgi ya manasi kwa njia hiyo ila serikali itamsadia asiwe na hofu.

NB; Kilichonishangaza mimi ndg TODAYS ni bimkubwa kumuita mzee Abood "mdogo wangu" nadhani labda ukubwa huo ni kikazi au kisiasa, vinginevyo kiumri mzee aboud ni mkubwa zaidi ya maza!.
Ukishakuwa raisi ww ni mkubwa kwa wote
 
Hiyo ni kauli ya Bimkubwa wakati akiwa kwenye uzinduzi wa SGR njia ya Dar kwenda Dodoma mapema leo.

Amesema ana taarifa kwamba mzee Abood alishapunguza baadgi ya manasi kwa njia hiyo ila serikali itamsadia asiwe na hofu.

NB; Kilichonishangaza mimi ndg TODAYS ni bimkubwa kumuita mzee Abood "mdogo wangu" nadhani labda ukubwa huo ni kikazi au kisiasa, vinginevyo kiumri mzee aboud ni mkubwa zaidi ya maza!.
Mama ana lugha ya kistaarabu sanaa na kingwana angekua yule jamaa pasingetosha hapo.
 
Back
Top Bottom