Abood Peleka Mabasi Sehemu Nyingine Tutakusaidia, Siyo Lazima Dar - Moro

Abood Peleka Mabasi Sehemu Nyingine Tutakusaidia, Siyo Lazima Dar - Moro

Ukishakuwa raisi ww ni mkubwa kwa wote
Vipi ukiwa (mfano) IGP babako ni OCD wa kakamega na akawepo kwenye kikao cha maOCD wote nchini, bahati nzuri wkt unaotoa mfano ukamtolea babako mfano, je utamuita jina gani (kikazi) ?
 
Safari moja ya SGR ni zaidi ya mabasi 10. Ni lazima wayumbe, usipuuze. Labda waihujumu huko mbeleni. Kukiwa na safari 3 au 4 za treni kwa Siku, zitaondoa mahitaji yote ya muda(yaani wataotoa hoja ya kuwahi)
Achukue njis ya Mwanza Rwanda Kigali na Mwanza Dar haina magari. Rais yuko sahihi apeleke kwingine nchi kubwa hii.
 
Back
Top Bottom