Inaonekana huyo kijana haumpendi ulikimbilia kwake ili ufarijiwe ila kama una uhakika huyo kijana anakupenda na yupo tayari kwenda hadi kwa wazazi olewa naye team kataa ndoa watakuponza .Habari zenu
Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....
Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu
He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...
Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake
Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?
Nipo team #kataa ndoa📌
hahahahaha duh mkuu kama nakuona!!Pumbavu
Toa namba yake wenye uchu wamtafune, halafu ummwage kwa sababu katafunwa.Inaonekana huyo kijana haumpendi ulikimbilia kwake ili ufarijiwe ila kama una uhakika huyo kijana anakupenda na yupo tayari kwenda hadi kwa wazazi olewa naye team kataa ndoa watakuponza .
Chuo atanisomesha Hilo halina tatizoMallerina kwa mujibu wa huu uzi wako si upo chuo wewe?
Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma? Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake.. Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku...www.jamiiforums.com
Anakuoaje mwezi wa sita wakati utakuwa unafanya UE!!
Bora umkatae now kuliko kuishi bila amani maana hutokaa humpende na utampotezea muda sana na kumcheat juu.Habari zenu
Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....
Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu
He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...
Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake
Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?
Nipo team #kataa ndoa📌
Siku zote wanawake huwa wanapenda wanaume ambao watakaowachezea na kuwazalishaHabari zenu
Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....
Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu
He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...
Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake
Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?
Nipo team #kataa ndoa📌
Pumbavu umeshakula hela uñarudi kwa wahuni sasa.Opinion not needed❌