Absalom Kibanda Aliteswa wakati ana Kesi ya Uchochezi (Inayohusu Polisi)

Absalom Kibanda Aliteswa wakati ana Kesi ya Uchochezi (Inayohusu Polisi)

Mkuu hapo kwenye RED hao sio Mbuzi wa Kafara wanaingizwa hapo huku wakijua ni nini wanakifanya kumbuka taarifa za hao watu siku ya tukio la kutekwa na kuteswa kwa kibanda pia kumbuka kauli za NAPE na Riz 1 baada ya kuteswa Kibanda. Mjengwa na Ludovick wanaingizwa katika sakata ili kwa Lengo la Kumwingiza Lwakatare na tukio ili.
Upelelezi uliokamilika utaangalia na wote waliokuwa na bifu na Absalom Kibanda.

Huwezi kupinga kuwa Kibanda ana kesi Ya Uchochezi dhidi ya majeshi yetu yote (Polisi, Magereza, JWTZ, JKT na KMKM). Magazeti yake yaliandika makala zinazoyakera haya majeshi.

Pia ameandika makala hii hapa KAULI NZITO YA KIBANDA: Kwa JK uzushi, kwa wengine kashfa! ambayo iliwakasirisha sana Ikulu na TISS.

Tukiishia hapo tu kwa akina Maggid utakuwa ni upelelezi wa juu juu sana.
 
Wapelelezi wa Tanzania wakipuuzia bifu hizo ntakosa imani kabisa na system yetu ya sheria.
 
Back
Top Bottom