Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

oooh Nooo!! Dont tell me they intended to make him blind like what they wanted Kubenea to suffer!!
Tanzania, Tanzania where are you heading for?

UPDATE/TAARIFA MPYA:

Kwa mujibu wa maelezo ya mgonjwa aliyekaririwa akizungumza kwa shida, ameeleza kuwa, majira ya usiku wakati akiingia nyumbani kwake alivamiwa na watu watatu --mmoja akiwa ameshika bastola na wawili wakiwa wameshika nondo-- ambapo alipofika nje ya nyumba yake, watu hao walilivamia gari lake, wakauvunja mlango wa gari lake, wakamtoa nje, wakaanza kumpiga vibaya sana, wakamtoa meno mawili, wakamng'oa kucha katika moja ya vidole vyake na kumtoboa jicho lake kwa nondo.


 
Mimi kawaida yangu humu mtu akifanya anajuwa sana kiingereza huwa namkabidhi kwa Kiranga tu.

Tartiiibu.Kiranga ndo kawa kifimbocheza?

Since you asked, and I am in a pedantic mood with a and pugilistic slant today, "in the womb" is not a time, it is a place. "your pre-natal stages" would have been more appropriate.

Saying "as early as in the womb" is like saying "as early as Dodoma". The reader would have the extra work of tracking the context.

But on the real, let's not derail the thread.

Pamoja na kuumizwa hivyo, hakuna kitu hata kimoja kilichoporwa katika gari lake

Tanzania is increasingly becoming a police state run by the reign of terror.

Hawa si majambazi. Majambazi huiba. Hawa ni watu wa kazi zilizo beyond ujambazi wa kawaida.
 
Mashambulizi haya ni style ile ile ya Kiighondu Ighondu, hapa sasa mwangaza umeshaonekana, kung'oa meno, kung'owa kucha na kutoitumia Bastola, kama wewe Pasco kweli ni Bingwa wa kuunganisha dots sasa tuunghanishe hapa kwa kauli hii kutoka kwa KIbanda mwenyewe tuone umahili wako.

Ila ukumbuke hapa tupo waangaliaji wazuri wa Series za Miami CIS. Tuna akili zaidi ya Uhasama wa Taifa, na tunajuwa what goes on.

Nikiwa kama detective mstaafu wewe kuna uwezekano mkubwa 78% unahusika.
 
Nadhani hakuna uhusiano wowote kati ya issue Mollel na Kibanda, unajichanganya mwenye huu ni ushihidi tosha nyie vijana wahuni wa Chadema mnahusika na mnatumika vibaya nyie ndiyo mtakaoisaidia polisi.
Serious are you talking about polisi!!?? Realy!!

MWANDOSI.jpg


images


images
 
Nikiwa kama detective mstaafu wewe kuna uwezekano mkubwa 78% unahusika.
Unajuwa hata maana ya Detective? unaongea ushuzi tu Lumumba kabebe posho yako hapa wacha wanaume waongee vitu vya kimsingi.

Aliyekwambia haya matukio yanahitaji Detective ni nani wakati mratibu mkuu yuko pale Magogoni right wing?

Kwanza unajuwa hata Left wing na right wing katika nchi yetu? nisije nikawa nangea na zuzu lisilojuwa lolote bin mbulula.
 
Hivi hii nchi tunaelekea wapi jamani,mimi naanza kupata wasiwasi,tatizo ni nini hasa,nchi inaharibika, we must do something serious to rescue this situation otherwise worse will turn to worse tutakuwa hatuna tofauti na Somalia,it started just like this na watu walidharau hatimaye sasa nchi itafikia mahali itakuwa haitawaliki,siwapendi wana siasa asilani.
 
Duuuh kama ulimboka vilevile!
Hapa huu mchezo huu kuna watu wanataka kubambikiwa kabisa! Hawa waliyo fanya haya hawana tofauti walio mfanyia ulimboka!

.........
UPDATE/TAARIFA MPYA:

Kwa mujibu wa maelezo ya mgonjwa aliyekaririwa akizungumza kwa shida, ameeleza kuwa, majira ya usiku wakati akiingia nyumbani kwake alivamiwa na watu watatu --mmoja akiwa ameshika bastola na wawili wakiwa wameshika nondo-- ambapo alipofika nje ya nyumba yake, watu hao walilivamia gari lake, wakauvunja mlango wa gari lake, wakamtoa nje, wakaanza kumpiga vibaya sana, wakamtoa meno mawili, wakamng'oa kucha katika moja ya vidole vyake na kumtoboa jicho lake kwa nondo.


 
Duuuh kama ulimboka vilevile!
Hapa huu mchezo huu kuna watu wanataka kubambikiwa kabisa! Hawa waliyo fanya haya hawana tofauti walio mfanyia ulimboka!
Serial touchier bado ni yule yule mmoja na anajulikana vyema, hapa tunapiga porojo tu kina Pasco wajitafutie umaarufu kunuka kwamba kuna vitu wanavijuwa wakati uongo mtupu na kutafuta sifa za kijinga tu.
 
Kijana hii ndiyo kazi yako humu JF utoto utoto.

wewe huna unalolijua katika nchi hii, si hitaji hata kukufamu wala sihitaji unifahamu mimi ni nani....wewe ni mpuuzi na kuna siku utajuta!!!
 
Cku zote polisi huanzia uchunguzi pale penye maadui wa majeruhi. Tanzania Daima ni mahali muafaka, ijulikane kwa nini aliondoka tena ghafla huku akiwa tegemeo kubwa la gazeti hilo?

Kama alifuata dau Habari Corporation, haiingii akilini kuwa mtu muhimu namna hiyo Tanzania Daima walishindwa kumlipata ili wam retain. Kuna jambo hapo, usi we mbishi bila kisa
.

Upelelezi utabidi uanzie kwako wewe mwenyewe na huyo mwenzio,yaelekea mnamfahamu hata muhusika au yaweza kuwa ni nyinyi wenyewe.
Naamini Polisi wanatakiwa watumie utaalam wao wote pasi kufuata mis-leading info kama hii yako wewe, inaumiza sana kitu Absalom Norman Kibanda katendewa, hakika inaumiza...
 
Nadhani mkasa huu unaenda sambamba na article waliyoiandika gazeti lake la MTANZANIA kuhusu chuo kilichojengwa Ukerewe alichodai kinaendesha mafunzo ya kigaidi.Yeye akiwa ni MHARIRI MKUU wa gazeti hili.Bila shaka kile alichoandika hakijawapendeza wasomaji hasa walioguswa na habari ile.
 
Mashambulizi haya ni style ile ile ya Kiighondu Ighondu, hapa sasa mwangaza umeshaonekana, kung'oa meno, kung'owa kucha na kutoitumia Bastola, kama wewe Pasco kweli ni Bingwa wa kuunganisha dots sasa tuunghanishe hapa kwa kauli hii kutoka kwa KIbanda mwenyewe tuone umahili wako.

Ila ukumbuke hapa tupo waangaliaji wazuri wa Series za Miami CIS. Tuna akili zaidi ya Uhasama wa Taifa, na tunajuwa what goes on.


......

Mkuu kwenye red acha nikukosoe kabla ya ritz hajatoka kwenye ban..CSI
 
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.

......

Ufinyu wa mawazo, so mmefanya ili msingizie tanzania Daima na CDM, always ndo kimbilio lenu, hata Mwangosi mlisema alirushiwa kitu chenye ncha toka kwa mashabiki wa CDM camera zikawaumbua, shame.
 
Back
Top Bottom