SASATELE
Senior Member
- Sep 12, 2011
- 167
- 90
oooh Nooo!! Dont tell me they intended to make him blind like what they wanted Kubenea to suffer!!
Tanzania, Tanzania where are you heading for?
Tanzania, Tanzania where are you heading for?
UPDATE/TAARIFA MPYA:
Kwa mujibu wa maelezo ya mgonjwa aliyekaririwa akizungumza kwa shida, ameeleza kuwa, majira ya usiku wakati akiingia nyumbani kwake alivamiwa na watu watatu --mmoja akiwa ameshika bastola na wawili wakiwa wameshika nondo-- ambapo alipofika nje ya nyumba yake, watu hao walilivamia gari lake, wakauvunja mlango wa gari lake, wakamtoa nje, wakaanza kumpiga vibaya sana, wakamtoa meno mawili, wakamng'oa kucha katika moja ya vidole vyake na kumtoboa jicho lake kwa nondo.