Serial touchier bado ni yule yule mmoja na anajulikana vyema, hapa tunapiga porojo tu kina Pasco wajitafutie umaarufu kunuka kwamba kuna vitu wanavijuwa wakati uongo mtupu na kutafuta sifa za kijinga tu.
Wee mleta habari, hebu weka mambo sawa. Ametekwa au amevamiwa na majambazi nyumbani kwake? Tuambie wamechukua nini? Ukisema ametekwa ina maana walimpeleka kusikojulikana na kuanza kumshambulia? Hebu toa maelezo yanayojitosheleza bwana.
Nadhani mkasa huu unaenda sambamba na article waliyoiandika gazeti lake la MTANZANIA kuhusu chuo kilichojengwa Ukerewe alichodai kinaendesha mafunzo ya kigaidi.Yeye akiwa ni MHARIRI MKUU wa gazeti hili.Bila shaka kile alichoandika hakijawapendeza wasomaji hasa walioguswa na habari ile.
dr mwakyembe-sumu= mbeya
prof mwandosya-sumu=mbeya
ndg mwangosi -bomu=mbeya
dr ulimboka-kipigo kikali=mbeya
ndg kabanda -kuvamiwa =mbeya
whats wrong with mbeya especially kwa wanyakyusa tu
tutafakari kwa pamoja pasipo kuweka dhana ya ukabila ila tujiulize kwanini mbeya na wanyakyusa tu?
Hapa lazima ofisi yake ya Zamani kabla ya kuhama ichunguzwe kuna kitu hapa
Ukiwa huna akili, huna akili kweli. Huyu ni muandishi wa habari ambaye mara nyingi amehusishwa na makala ambazo ni chukizo kwa serikali, hapana shaka ktk hili serikali inahusika. Hata hivyo inabidi ikili kwamba ina watuma watu ambao ni dhaifu kifikra ambao hawatimizi lengo maana natumai kibanda akipona ataianika tena serikali km ilivyokuwa ktk matukio yaliyotangulia.
sure. hawa jamaa wanajihusisha na matukio mengi sana halafu wanaisingizia serikali. lazima mwajiri wake wa kwanza achunguzwe na ukweli utabainika. wangwe walisema alikufa kwa ajali. na sasa kibanda wanavumisha majambazi
sure. hawa jamaa wanajihusisha na matukio mengi sana halafu wanaisingizia serikali. lazima mwajiri wake wa kwanza achunguzwe na ukweli utabainika. wangwe walisema alikufa kwa ajali. na sasa kibanda wanavumisha majambazi
Bwana Lukolo, hujaiona hii kwenye habari yenyewe? Nanukuu kutoka kwenye habari: "Pamoja na kuumizwa hivyo, hakuna kitu hata kimoja kilichoporwa katika gari lake"
Na kwa taarifa yako, unamwona Makamu wa Rais akienda hospitalini kumjulia hali, ili tu kufunika kombe..... Hata hivyo, kadri wawapigavyo na kuwatesa wanahabari, ndivyo basi Watanzania wafungukavyo na kuyatafuta mapinduzi zaidi.
Kwani walipommwagia Kubenea tindikali, sauti ya wanahabari ilinyamaza Tanzania? Je walipolifungia gazeti la Mwanahalisi, waliweza kunyamazisha tasnia ya habari? Je walipomuua Mwangosi? Ngoja waendelee kuweka kuni kwenye moto wa kuwachoma wao wenyewe. Tanzania imeshaamka sasa, hatuna mchezo eti...
....
sure. hawa jamaa wanajihusisha na matukio mengi sana halafu wanaisingizia serikali. lazima mwajiri wake wa kwanza achunguzwe na ukweli utabainika. wangwe walisema alikufa kwa ajali. na sasa kibanda wanavumisha majambazi
......
Hapa lazima ofisi yake ya Zamani kabla ya kuhama ichunguzwe kuna kitu hapa
......
Mara zote na wakati wote WASEMA KWELI WANA MAISHA MAGUMU AU HAWANA MAISHA KABISA HAPA DUNIANI.Mifano ni mingi sana ya watenda haki na wasema ukweli hapa duniani wanavyoteseka na kufa vifo vya ajabu.
Kibanda Mungu akuponye haraka.
.......
wewe huna unalolijua katika nchi hii, si hitaji hata kukufamu wala sihitaji unifahamu mimi ni nani....wewe ni mpuuzi na kuna siku utajuta!!!