Abubakar Salum haumwi, ila amegoma hadi amaliziwe chake chote

Abubakar Salum haumwi, ila amegoma hadi amaliziwe chake chote

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kuna mgomo wa chini kwa chini juu ya kuchelewesha mishahara ya wachezaji wazawa ila wa kigeni wote mnawatimizia kwa wakati.

Nibishieni hili ili nije na siri nyingine.
 
Ni Bora ukamwaga tu Siri zote hazarani!!!
Maana unahaidigi hivi na huletagi ushahidi wowote
 
Sureboy hana nafasi kucheza Yanga. Ni usajili wa hovyo pia.
 
Ghetto shpng center walpga deals bla kulipa Kodi wakapata mzgo wa kutosha then wakaidedsha kampun....wakja na jcm.
Sasa mkuu washndwe kulpa mishahara kwani trab na trat za TRA znawahusu????
Wao kama mama kibonge
 
Si wamlipe,shida mikataba mingi ilikua ni hewa walifanya vile ili kumaintain vibe la mashabiki timu ionekane ipo level za juu.
 
Back
Top Bottom