GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hazarani=HadharaniNi Bora ukamwaga tu Siri zote hazarani!!!
Maana unahaidigi hivi na huletagi ushahidi wowote
Huo ni uongoNa kuna Mgomo wa chini kwa chini juu ya Kuchelewesha Mishahara ya Wachezaji Wazawa ila wa Kigeni wote mnawatimizia kwa wakati.
Nibishieni hili Ili nije na Siri nyingine.
Matajiri mzigo Umekata.dah kumbe tunaona kwa nje hali safi kumbe ndani wameoza soon watapitisha bakuli
Mlimsajilia wa nini kwa Mbwembwe zote zile?Sureboy hana nafasi kucheza Yanga. Ni usajili wa hovyo pia.
Wakopeshe weweMatajiri mzigo Umekata.
Sawa tumekusikia una jingine?Na kuna Mgomo wa chini kwa chini juu ya Kuchelewesha Mishahara ya Wachezaji Wazawa ila wa Kigeni wote mnawatimizia kwa wakati.
Nibishieni hili Ili nije na Siri nyingine.
Ni bora acheze sub ya Aucho huko SudanSureboy hana nafasi kucheza Yanga. Ni usajili wa hovyo pia.