Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Umoja wa falme za kiarabu umekamilisha ujenzi wa kinu cha nyuklia ambacho kitakuwa ni cha mwanzo katika maeneo ya mashariki ya kati.
Kinu hicho kitatoa jumla ya 40 Terrawatts za umeme kwa mwaka ambao utakuwa ni asilimia 25 tu ya matumizi yake kwa mwaka
Baada ya miaka 60-80 kinu hicho itabidi kifumuliwe ambap kitakuwa kimemaliza umri wake wa kutumika.
Kinu hicho kitatoa jumla ya 40 Terrawatts za umeme kwa mwaka ambao utakuwa ni asilimia 25 tu ya matumizi yake kwa mwaka
Baada ya miaka 60-80 kinu hicho itabidi kifumuliwe ambap kitakuwa kimemaliza umri wake wa kutumika.