avitus john
Member
- Aug 11, 2024
- 67
- 102
Iran ni wajambazi watupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpk ss silaha za Iran ndo zimekuwa zinaleta fujo hapo mashariki ya katiKwani Iran wamesema wamejenga kwa ajili ya uhalifu.
Israel hakukaa kimya alizuiliwa na wahisani.. na wahisani wakahakikisha hapati madhara yeyote ili asije kujibu vita ikalipuka kote... ila Israel alijibu akapasua S-3 mtambo wa kujilinda original from Russia.. ndio maana baada ya kifo cha Haniyah Iran kaambiwa yeye ukijibu jamaa amekupania haswa kukutia hasara kona zote haswa mafuta na bandari.. Iran akaeskuti akaona duh.. atumie njia nyingine... for now anakusanya defense battery maeneo muhimu ndipo aanze tena DomokayaKwanini Israel iliamua kukaa kimya iliposhambuliwa na Iran miezi michache iliyopita, ni kwa sababu makombora ya Iran yalifika mpaka karibu na kituo cha nyuklia cha Israel kwenye jangwa la Negev.
Kwa maana hiyo kumiliki makombora ya ballistic na ya nyuklia unaheshimika sana.
Iran hawalaumiki kwa lolote lile kwa kuharakisha kumilikia nyuklia.