Abudhabi imekamilisha kinu cha mwanzo cha nyuklia mashariki ya kati.

mpk ss silaha za Iran ndo zimekuwa zinaleta fujo hapo mashariki ya kati
Hujaona kuwa silaha za Marekani ndizo zinazoua maelfu ya watu.Hakuna silaha ya Iran iliyotumika katika mauwaji hayo.
 
Israel hakukaa kimya alizuiliwa na wahisani.. na wahisani wakahakikisha hapati madhara yeyote ili asije kujibu vita ikalipuka kote... ila Israel alijibu akapasua S-3 mtambo wa kujilinda original from Russia.. ndio maana baada ya kifo cha Haniyah Iran kaambiwa yeye ukijibu jamaa amekupania haswa kukutia hasara kona zote haswa mafuta na bandari.. Iran akaeskuti akaona duh.. atumie njia nyingine... for now anakusanya defense battery maeneo muhimu ndipo aanze tena Domokaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…