Kwanini Israel iliamua kukaa kimya iliposhambuliwa na Iran miezi michache iliyopita, ni kwa sababu makombora ya Iran yalifika mpaka karibu na kituo cha nyuklia cha Israel kwenye jangwa la Negev.
Kwa maana hiyo kumiliki makombora ya ballistic na ya nyuklia unaheshimika sana.
Iran hawalaumiki kwa lolote lile kwa kuharakisha kumilikia nyuklia.