Abunuwasi na Wagagagigikoko

Abunuwasi na Wagagagigikoko

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
mimi mutwa mukulu nawakilisha kizazi cha dot com. nikiwa shule ya msingi ilembula njombe kwa mzee nyimbo, nilibahatika kusoma baadhi ya vitabu vya zamani kwani kijiji kile watu walianza kusoma mwaa 1945. nilipata kusoma kitabu cha abunuwasi, kisiwa chenye hazina na jamaa hodari kisiwani. wanajamvi, kama kuna mwenzetu anaweza kupost vitabu hivi naomba mtu postie vina kosha moyo. ​natamani vitabu kama wagagagigikoko, mahugli mtoto alie lelewa na nyani, tunguri ya ajabu,maji ya dhaabu, mti uimbao,ndege anenaye na maji ya dhahabu na vingi vinginevyo.nawasilisha
 
sijui nitapataje mi mwenyewe natafuta
halafu kuna moja inaitwa dunia "uwanja wa fujo" sijui niipateje pia
 
nasikia mkuki na nyota wamechapisha mazungumzo ya alfu lela lela sijui hivi vingine
 
Wandugu natafuta kitabu tajwa hapo juu. Kama unacho kiscan vizuri kisha nitumie. Nina Tsh 12,000/=

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom