Pamoja na yote hayo, bado siwez kujifanya nitaishi kwa raha huku nimesusiwa na wazazi. Hata kama nimekuwa vipi.
Pamoja na kwamba unaweza kusema umekuwa na utafanya maamuzi yako mwenyewe, its fine, kususiwa na wazazi waliokuzaa ni kitu ambacho kitakuumiza maisha yako yote. Kwanza ufahamu kwamba mimi sina tatizo la mtu kuoa hata kikongwe, si kapenda bana. Na sidhani kama kwa mzazi makin anaweza kumsusa mtoto wake kwa kuoa mtu mkubwa zaidi yake tu. Hii si sababu ya maana hata kidogo.
Sijajua sababu ya kususiwa na wazazi wake ni nini, lakin naamini haiwezi kuwa ukubwa na Mariah Carey tu. Huenda kuna kitu cha ziada walitaka kumweleza mwanao ambacho aliamua kupuuzia pengine kwa sababu kapata mwanamke tajiri. Hii ni kasumba ambayo vijana wengi wadogo wanayo, haijalishi ni wa bongo au Ulaya.
Kwangu mimi, hata kama maamuzi wa kuoa nani nafanya mimi, bado nitaweka umuhimu mkubwa kwa wazazi wangu pia. Wao wameona mengi, wamepitia mengi. Labda kama ni wazazi wa ovyo.
Wamekususa ndugu zako wote, then uone ni kawaida???? Hapana aisee!!!!!!!
Labda kama nilizaliwa sijui ndugu yoyote. Otherwise, siwezi ishi kwa amani.