INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
-
- #21
Hapo ni compressor tuu maana hizi premeo Huwa Zina compressor ambazo hubana ndani Sasa ikifail tuu ubaridi Huwa unakuja na kukata.Badilisha compressor weka oil yake Kisha jaza gas itakuwa poa.
Umenunua mpya au used?. Kama bei Gani?Wakuu habari?
Finally nimesovu tatizo ishu ilikuwa ni Compressor, nimebadilisha kila kitu kipo sawa 100%. Compressor niliamua kurudi nayo home ikae ndani tu.
View attachment 2738620
Asee mimi hilo tatizo ninalo kwenye terios kid yangu,najaza gesi baada ya muda ubaridi unapotea sijui tatizo laweza kuwa nini hapo wadau
Umenunua mpya au used?. Kama bei Gani?
Huwa znauzwa 250k pmoja na gas 300kNimenunua Used from Japan, imenitoka 300k asee. Jamaa niliyempa kazi ni fundi wangu sijui kama alinipiga au laah
Runx nayo compressor yake ni bei hii?Huwa znauzwa 250k pmoja na gas 300k
Kwani ile IST umeuza au umemwachia Mrs. Pama mdogo (i.e. Jane)Wakuu habari zenu.
Gari yangu ni Premio ila kuna shida naiona kwenye AC. Kuna muda AC inakuja kuna muda inakata.
Shida itakuwa ni nini?