INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
- #21
Hapo ni compressor tuu maana hizi premeo Huwa Zina compressor ambazo hubana ndani Sasa ikifail tuu ubaridi Huwa unakuja na kukata.Badilisha compressor weka oil yake Kisha jaza gas itakuwa poa.
Ulikuwa sahihi kaka, shida ilikuwa ni hii [emoji1544]