Hivi hii nadharia kuwa magari ya japan thermostart lazima uitoe ni kweli?Sasa thermostat umetoa ya nini ??? Unajua kazi yake
Mafundi wetu wa chini ya muembe mkuu..Hivi hii nadharia kuwa magari ya japan thermostart lazima uitoe ni kweli?
nilivoaminishwa gari la japan unatoaa ila za european usitoee 😀 😀 😀 😀Mafundi wetu wa chini ya muembe mkuu..
Daaaaah itakuwa nimeibiwa hiyo compressor na haya mazaga mengine mpaka ikaanza kuchemsha... hatari hiiiangalia mfumo wa ac .. kama compressor iko sawa
compressor na kuchemsha havihusiani ....Itakuwa wameniiba nilikuwa dom majuz jamaa fulan ninayeheshimiana naye akaniomba akimbie garage kuangalia gar yake.. kesho yake gari yangu ikaanxa kuchemsha daaaahDaaaaah itakuwa nimeibiwa hiyo compressor na haya mazaga mengine mpaka ikaanza kuchemsha... hatari hiii
Cooling fan ipo hapo mbele ukifungua tu boneti unaiona hapo..Maana pia ilianza kuchemshA mkuuu... fan ni fan hizi za mbele?
hapo cheza na rejeta mkuu na mfumo wa maji ...na usizembee usije unguza cylinder head ila kwenye ubaridi wa ac.. compressor ndo muhimu kuangaliaOk mkuu wanguuuu.... so itakusa tatizo tofaut ? Huenda piavikahusiana maana radiator hupoza
hahahahaha nayo muhimu kupima kweli ...fundi aangalie gesi kama ipo make tumekimbilia vikubwa ila kwa maelezo uliyotoa kuwa inatoa joto cheki gesi na compressorMtu kashauri kuwa mtungi wa gesi umeisha?