Tetesi: Acacia keleta Askari Wazungu/Mamluki

Tetesi: Acacia keleta Askari Wazungu/Mamluki

Hivi Hicho kibari chao cha kazi kinasainiwa na mkuu Wa majeshi nimjuaye Mimi pamoja na kamishna genera Wa uhamiaji?? Au wanakuja kama kk security?
 
Mnapiga kelele Kwa kitu kilicho wazi na lazima ccm Kwa hili msimlaumu MTU yyt mliambiwa na marehemu komba na baadae na wapenda nchi kuwa ccm ni ileile hats wakivaa koti ni ileile tu,hapo rais wetu kaamua kukiumbua chama chake Kwa nia nzuri ukisikia kilichokuwa kikisubiliwa Kwa mda mrefu kuyapata yale ma papa ndo hapo,lakini hapo rais wetu hapo bado maana eneo uliopeleka mtumbwi wako ni kama umepatia hapo ndo kwenye papa wengi sana hakuna vibua hapo!
 
Hivi kweli jamani kwa uelewa wangu mdogo unaweza kuwa na kampuni kubwa namna hii alafu usiwe na leseni ya biashara unafanya biashara kinyemela????? Naona hofu juu ya hili kwa akili yangu ndogo mwenzenu.
 
Hili jambo kama ningeweza kuwa na maamuzi, basi hawa ningewapeleka kwenye shule, kijiji ambamo wanadai wanasidia kwa kiasi kikubwa, walale huko, tufanye mikutano huko, kwani kama wanavyodai "usaidizi" wao unaleta "maendeleo kwenye maeneo wanayochimba" na hivyo basi sintaona tatizo kwanini tusifanye hayo makubaliano chini ya mti au kwenye madeski ya shule wanazo jenga. Mama ntilie ndani.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom