Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh siyo mchezotayari wanaondoka zao hao.
Honey card yetu ya mwaliko unayo wewe, niko saloon nitakuwa nyumbani in half an hours time.Maskini Noah zetu.... dah!
Tafadhali uvae ile ya pink niliyokununulia Jakarta...Honey card yetu ya mwaliko unayo wewe, niko saloon nikuwa nyumbani in half an hour time.
Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
tuwape wasukuma wachimbe dhahabu na majembe pale mbona pesa ipo mkuu?Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
[emoji28] [emoji28] baby bana Noah tuachie vijana wazee nanyi mnabana hapo hapoMaskini Noah zetu.... dah!
Wakwendreeee kureee nyamafu hawa! Wameiba mpaka wakavimbiwa![]()
More to follow...
Mi nimeona hapo red tu baaaaas...[emoji28] [emoji28] baby bana Noah tuachie vijana wazee nanyi mnabana hapo hapo