Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Habari Wana JamiiForums.
Kauli tata inayodharau wapiga kura na mchakato wa kupiga kura,uchaguzi na demokrasia naona una uhusiano mkubwa na matokeo ya Mitihani.
Nilitembelea Data base ya Baraza la mitihani Tanzania, nimeona matokeo ya mtihani wa Kidato Cha Nne, matokeo ni hivyo.
Somo la elimu ya URAIA Waziri kapata A ILIYO FUNGUKA, na English pia A ILIYOFUNGUKA ,HESABU A ILIYOFUNGUKA
Ninaomba maoni yenu nijue kama GOLI LA MKONO, NA INATEGEMEA ANAYEHESABU KURA. Ina uhusiano na matokeo yake ya mtihani na uwezo wake SHULENI?
Nandagala ONE ,safarini Mbekenyera-Ruangwa.
Kauli tata inayodharau wapiga kura na mchakato wa kupiga kura,uchaguzi na demokrasia naona una uhusiano mkubwa na matokeo ya Mitihani.
Nilitembelea Data base ya Baraza la mitihani Tanzania, nimeona matokeo ya mtihani wa Kidato Cha Nne, matokeo ni hivyo.
Somo la elimu ya URAIA Waziri kapata A ILIYO FUNGUKA, na English pia A ILIYOFUNGUKA ,HESABU A ILIYOFUNGUKA
Ninaomba maoni yenu nijue kama GOLI LA MKONO, NA INATEGEMEA ANAYEHESABU KURA. Ina uhusiano na matokeo yake ya mtihani na uwezo wake SHULENI?
Nandagala ONE ,safarini Mbekenyera-Ruangwa.