Access bank hakuna dili

we naona unamawazo ya mgando mpaka kichefuchefu........UJASIRIAMALI mtaji napata kwa BABA YAKO?????????

Usilete hasira mkuu, akili yako na elimu yako ni bonge ya mtaji. Kwa hii kauli yako Acess bank ndo size yako. Elimu yako ya makaratasi hayatakusaidia. Msomi wa digri kama unavyodai!! Kazi kweli kweli.
 
Wameniita j3 SIENDI!!!...kudadek pu***f kbsa...
 
Nilishawahi kuchangia tread moja humu JF juu ya mshahara wa loan officer wa access bank lakini kuna wadau wakaniponda na kusema mshahara wao unafika hadi 1.2M.
Bora mwanzisha mada hii atawafumbua watu macho.

nakumbuka ulisema ni 180,000 sasa nashangaa hapa imepungua 30,000 nzima.
 
Wameniita j3 SIENDI!!!...kudadek pu***f kbsa...

usiamini la kusikia,nenda ukathibitishe,huyo mleta mada labda naye kaitwa kwenye usaili anasema hawana deal, labda anajaribu kupunguza ushindani,kama mmeitwa watu 20, kumi kama wewe waamini maneno yake wasiende ,MJINI SHULE(most of the lessons we learns oustide z classroom)
 
that is called underemployment...ni bora ukajitololee kwenye audit firms where u gain skills n maximize ur chances for a better job
 

kuna nafasi nyingne wametoa ambazo deadline yake ni tar 21may nanimeshatoa copy vyeti hili nitume kesho hla kwa hii taarifa hili buku la stam
 
Duu,twashukuru kwa taarifa mkuu.Ila vumilia kwanza uone inakuwaje kwa mbele kulioko kufanya maamuzi mapema
 

Wale Access si wanafanya kazi mpaka Jumamosi kwahiyo ni siku 6 kwa wiki mara wiki 4 katika mwezi ni siku 24 (24 X 1000) = 24,000/=Tsh.
Kwahiyo apige kazi mwisho wa mwezi akachukue mshahara wake Tshs 24,000/= ? ndiyo unachomshauri?
 

Yaani nimecheka mpaka machozi yananitoka ! pole sana , wewe hujui mwanzo ni mgumu? ngoja nikwambie,

Ukiwa na kazi ni rahisi sana kupata kazi kuliko ukiwa kijiweni, fanya kazi kwa kuvumilia japo mwaka au na nusu au miwili, VUMILIA, baada ya mwaka omba sehemu nyignine hapo umeshapata experience na umeshajua wateja halafu unahama na wateja wako! huoni kama utajiongezea ujiko! tatizo lenu watoto wa siku hizi unataka ukianza kazi ulipwe million, na baada ya mwenzi una gari ! vumilia kwani MVUMILIVU HULA MBIVU, wewe hujasikia kuwa "MCHUMIA JUANI HULIA KIVULINI? tafakari then chukuwa hatua !
 
Wale Access si wanafanya kazi mpaka Jumamosi kwahiyo ni siku 6 kwa wiki mara wiki 4 katika mwezi ni siku 24 (24 X 1000) = 24,000/=Tsh.
Kwahiyo apige kazi mwisho wa mwezi akachukue mshahara wake Tshs 24,000/= ? ndiyo unachomshauri?

"Mshahara niliosaign kwa level yangu ya degree ni laki moja nusu kwa mwezi....."

Au mie sijaelewa? sio kama analipwa 1000 kwa siku na 150,000 kwa mwenzi?
 
vumilia kidogo labda ni jaribio kuona kama kweli unataka kuwa nao, yaani chukulia kama ni kuonjeshwa kazi zingine as hakuna baya hapo. baadae utaanza ulicho saini. jitahidi ufanye vizuri.
Hakuna kitu kama hicho, huo ni ubabaishaji tuu
 
"Mshahara niliosaign kwa level yangu ya degree ni laki moja nusu kwa mwezi....."

Au mie sijaelewa? sio kama analipwa 1000 kwa siku na 150,000 kwa mwenzi?

Hata ikiwa hivyo ni 174,000/= kwa mwezi....kweli 174,000 kwa mwezi na hali hii ya maisha ya sasa hv?
 
Hao wajerumani wakatili sana! achana nao bana sasa buku kaka utakula nini? na nauli je?

Wakishakutana wanaijeria na wajerumani ni shida tupu
 
Hata customer care wa voda ana afadhali
yeye anachukua Tsh.300,000/= per mnth

Mchoma chipsi mjanja alie ajiliwa huwa ananunua mayayi yake ya ziada ambayo yako nje na hesabu ya bosi na kuyapa kipaumbele yake kuya anzia kuka_anga kwa viazi vya bosi wake na hvyo kujitengenezea c chini Tsh. 5000/= per day
(5000*30= Tsh.150,000/=) per mnth
 
Ndio maana sitaki kazi za sales na marketing coz mshaara unaongezeka kulingana na kamisheni,kuna deault mshaara ambao ni mdogo sana kuanzia 140,000-200,000/= kwahyo hapo ni jitaihada zako tu,kila mwezi inabidi ulete wateja wengi na kila account unalipwa elfu2000 na loan unalipwa 1% ya mkopo wote(Kama ulileta wateja wa loan ya mil10,basi mwezi uho utapata kamisheni ya laki) so kazi ni kwako!! Kwa mshaara huo bora nikalime kijijini.
 

Wale Access si wanafanya kazi mpaka Jumamosi kwahiyo ni siku 6 kwa wiki mara wiki 4 katika mwezi ni siku 24 (24 X 1000) = 24,000/=Tsh.
Kwahiyo apige kazi mwisho wa mwezi akachukue mshahara wake Tshs 24,000/= ? ndiyo unachomshauri?

Mkuu Anselm

angalia tena ushauri wangu..., nimemwambia badala ya kureport kazini aongee nao (sababu hapa issue ni kuwatafutia wateja na sio kureport kazini na kuangalia majengo (hivyo basi yeye asiwe anakuja kabisa ofisini ila huko huko kwenye anga zake anawatafutia wateja (kama commission ni nzuri lakini) anaweza kutumia njia zake za marketing kuwaletea wateja na hizo buku ngapi ngapi zinakuwa bonus.., yaani aendelee kufanya issue zake wakati hii anafanya on the side (sio kitu ambacho mimi ningependa kufanya binafsi, lakini sijui yeye situation yake.., na ukweli ni kwamba ikitokea kazi kwa hao jamaa yeye ndio atakuwa first choice kupewa na sio mtu baki kutokea nowhere
 
Last edited by a moderator:
pole sana.., firms nyingi zinapata super normal profits lakn wanalipa mishahara midogo sana.., hii inatokana na sera mbovu za ajira na uwekezaji..,

Mbna huko kwao mwajiri anawekewa kima cha chini cha salary per hour.., kwa us,uk et al,, mtu hata awe mpiga deki,, kipato anachopata kinamtosha kuishi comfortable kabisa,,

Dogo usipoangalia utajikuta unafanya kazi na bado unaomba pesa za matumizi kwa wazazi au ndugu zako..,

Haya mabenki yanatengeneza mafaida ya ajabu.., interest rates zao zpo juu hatari,, watu wanaogopa ku-risk kukopa.., huko kwny micro-financers ndo hatari.., interest
zinafika hadi 100%..., serikali imekaa tu inaangalia sekta hii ya finance ikiwaibia wananchi mchana kweupe.., huu ni wizi,,
eti biashara huria..., biashara huria bila customer protection policies, ni sawa na
ujambazi tu...,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…