Mkuu unapenda benki ndogondogoπ Au hupendi foleni za CRDB na NMB..!Kitambo sana tulikulaga za uso
Ile benki iliyokuwa inaitwa meridian biao, vipesa vyetu vilipotea mpaka leo ikawa historia
Nikafungua pia ac benki ya Green land bank nayo ikatokeaga mauzauza
Ova
Wakati huo crdb alikuwa hana jina sana, NBC labda sema nayo mlolongo ulikuwa mkubwa.Mkuu unapenda benki ndogondogoπ Au hupendi foleni za CRDB na NMB..!
Mkaldayo mimi hela yangu ipo kwenye ElectrumHalafu makao makuu yao ni Abuja Nigeria. Sithubutu kuweka hela yangu hapo. Acha tu madogo walevi kina Chaliifrancisco waweke hela zao za mavuno ya ngwara na dengu wapigwe wabaki kulialia kama mikondoo mipumbavu.
Watu tulipoenda bank tulikutanaMkuu unapenda benki ndogondogoπ Au hupendi foleni za CRDB na NMB..!
Watu tulipoenda bank tulikutana
Na minyoronyoro na makufuli π
Kuna wazee walizimia aise π
Ova
Yah yule mzee aliweka life savingWazee itakuwa waliweka 'Life Savings' zao hapo.. Ujana wa kuzitafuta upya umeondoka na akiba waliyoweka kwa jasho na damu wameondoka nayo π Ila dunia ya kibepari hii, hamna anayemjali mwenzie..
Nmestuka sana mkuu maana yake ikifilisika umeisha!Kumbe wana kamtaji kaduchu hivyo?
Sema bongo uhuni mwingi. Unakuta watoto wa mjini wameamua kukwepa kodi.Nmestuka sana mkuu maana yake ikifilisika umeisha!
Umeiona wapi hii habari ?Miezi michache baadaye wameinunua BancABC.
Watakuwa wametisha sana,Miezi michache baadaye wameinunua BancABC.
Natumia simu ndogo kwa sasa nashindwa kuweka link.Umeiona wapi hii habari ?