Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Mikopo ya kilimo hailipiki ni sawa na kamari...Itakuwaje mvua isiponyesha au mazao yakiliwa na wadudu hawa wanataka kuwatia umasikini wakulima...ukipitisha rejesho siku moja tu wanakuuzia nyumba yako
Huo ukulima wako wa kienyeji sana. Hata usije waza kulima.