According to Islam, masterbation si dhambi

Kitendo cha kula chakula kwa mkono wa kushoto hakipendezi lakini sio dhamb.ngoja nkapige nyeto choon
Hakipendezi kwa nani, kwa mungu au machoni kwa watu.

Tupige nyeto tu, lakini kwangu ni dhambi, baada ya kukojoa lazima nijutie πŸ˜‚πŸ€£

Nashukuru nina muda mrefu mnoo nimeacha mambo ya kuut....mba mkono wangu
 
Hakipendezi kwa nani, kwa mungu au machoni kwa watu.

Tupige nyeto tu, lakini kwangu ni dhambi, baada ya kukojoa lazima nijutie πŸ˜‚πŸ€£

Nashukuru nina muda mrefu mnoo nimeacha mambo ya kuut....mba mkono wangu
Kinachofanya ujute ni ww kuwa unakiasi unaamini ni dhambi.muislamu akila kitimoto akimaliza atajuta .mkristo ndo kwanza anomaliya kula anatoa na oda ya kesho
 
Kinachofanya ujute ni ww kuwa unakiasi unaamini ni dhambi.muislamu akila kitimoto akimaliza atajuta .mkristo ndo kwanza anomaliya kula anatoa na oda ya kesho
Kwangu nyeto ni dhambi, dini yangu inaniambia nilinde afya yangu, chochote chenye madhara mengi kuliko faida basi nikae nacho mbali.

Vipi kubwia unga itakuwa ni ruhusa kwa sheria ya kiislam, jibu ni HAPANA
 
Sawa tumelogwa.
 
Tena mkubwa sana .

Cc : dronedrake
Wengi wanajaribu kuitetea sana lakini kwa ndani wanafahamu ni udhaifu, punyeto zinatengeneza wanaume wazembe na wadhaifu sana. Wanaume wasio na hali ya kupambania kitu wanachokitaka katika maisha.

Ni muhimu kwa kijana wa kiume anayekua kujenga ujasiri wa kupigania kitu anachotaka, punyeto inaua hiyo hali.

Kijana wa kiume atafute mpenzi mmoja, apime afya pamoja nae na wafanye ngono salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…