adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweee Mongolian savage.Sijaona mwanazuoni mkubwa hata mmoja aliye halalisha bangi labda mawazo hayo kama umeyatoa kwa Maghayo and his vicious barbaric gang.
Waumini wa kiislamu wanatakiwa walinde afya zao za kimwili na kiakili kwa nguvu kubwa na vitu vyote vinavyoharibu afya ya muumini inakuwa haramu kwake ,sasa vitu ulivyotaja madhara yake yapo wazi kabisa hayajajificha na haiitajii mpaka daktari bingwa aseme , hata humu Jf chunguza akili ya Maghayo na genge lake utapata majibu.
UONGO
Swali zuri...Samahani,kwani kwenye bible imeandikwa kuwa ni dhambi?
Mkuu sigara haiharibu afya? Mbona ni makrou na watu wanajivutia sana Cairo na Riyadh? Bangi nayo ni jamii ya sigara kwa hiyo nayo ni makrouSijaona mwanazuoni mkubwa hata mmoja aliye halalisha bangi labda mawazo hayo kama umeyatoa kwa Maghayo and his vicious barbaric gang.
Waumini wa kiislamu wanatakiwa walinde afya zao za kimwili na kiakili kwa nguvu kubwa na vitu vyote vinavyoharibu afya ya muumini inakuwa haramu kwake ,sasa vitu ulivyotaja madhara yake yapo wazi kabisa hayajajificha na haiitajii mpaka daktari bingwa aseme , hata humu Jf chunguza akili ya Maghayo na genge lake utapata majibu.
Wanazuoni wakubwa wametoa fatwa kuwa Sigara ,Mirungi ,Bangi ni haramu na sio Makruhu.Mkuu sigara haiharibu afya? Mbona ni makrou na watu wanajivutia sana Cairo na Riyadh? Bangi nayo ni jamii ya sigara kwa hiyo nayo ni makrou
Jana wakati napitapita zangu YouTube nikisikiliza mawaidha ya Dr Zakir Naik, I stepped on this little piece information kutoka kwa bingwa mwenyew.
Huyu jamaa kweny video hapo chini nadhani waislamu wengi watakuwa wanamjua, ni bingwa wa kuwasilimisha wakristo, anasifika duniani kote na waislamu kwa kubeba hoja nzito za kiislamu.
Waingereza husema "He is a force to be reckoned with"
View: https://youtu.be/vb2NmDNg6nU?si=hGHDB5R-Y6gu2yN9
Bingwa bhana anasema masterbation(nyeto) sio dhambi na sio haram, bali ni makrooh, maana yake ni nn? Maana yake ni kwamba masterbation(nyeto) sio dhambi bali ni kitendo ambacho haipendez kukifanya ila hata kama utafanya(masterbation) hutapata punishment yeyote, kwamba In islam masterbation is only discouraged but its not sin.
Kwa mujibu wa bingwa amesema njia nzuri yaku-avoid masterbation ni kufunga(fasting), hii inasaidia mwili na akili kukaa sawa na husaidia kupunguza sexual desires(nyege), I myself agree with him, kufunga ni moja ya njia nzuri sana ya kufanya mwili ukae sawa na kuimarisha afya yako.
Bingwa bhana kanishtua sana cause sikuwa na hii information, daaah waislamu mna raha sana mna nyetuka alaf hampati dhambi wala nn.
Niambie ni wapi biblia nzima inasema ni dhambiKwaio bhana wale wazee wa nyeto tano kwa siku wakina dronedrake na mshamba_hachekwi bora mhamie tuu kweny uislamu maana huku kwa wakristo masterbation(nyeto) ni dhambi mtachomwa moto hadi mbaki kuni, haya bhana mi nishawapa mchongo.
Ni kweli.....hasa kisaikolojiaUraibu wake una madhara makubwa Sana dadekii
Kitendo cha kula chakula kwa mkono wa kushoto hakipendezi lakini sio dhamb.ngoja nkapige nyeto choonSasa kama ni kitendo kisichopendeza kwanini ufanye,
Umejaribu kuangalia faida na madhara yake, kitu chenye madhara mengi kuliko faida, si ruhusa kukifanya kwenye dini.
Tushanyetuka saana, lakini ukweli uko pale pale, kujichukulia sheria mkononi dhambi, mie nikizidiwa nitanyetuka, lakini haimaanishi kuwa ni tendo halali.
Nishajibu, pitia kweny commentsNiambie ni wapi biblia nzima inasema ni dhambi
Haiko sawa, kama sote tujuavyo Islamic Fasting hufanyika kuanzia asubuhi hadi jioni na ukiwa na njaa mara nyingi unakuwa huna fikra za kukaza.Kwa mujibu wa bingwa amesema njia nzuri yaku-avoid masterbation ni kufunga(fasting)
Huwezi kukuta cocain kwenye vitabu bali watahawilisha au kufananisha inaleta madhara gani kama waliyozungumzia akina masters.Sijaona mwanazuoni mkubwa hata mmoja aliye halalisha bangi labda mawazo hayo kama umeyatoa kwa Maghayo and his vicious barbaric gang.
Waumini wa kiislamu wanatakiwa walinde afya zao za kimwili na kiakili kwa nguvu kubwa na vitu vyote vinavyoharibu afya ya muumini inakuwa haramu kwake ,sasa vitu ulivyotaja madhara yake yapo wazi kabisa hayajajificha na haiitajii mpaka daktari bingwa aseme , hata humu Jf chunguza akili ya Maghayo na genge lake utapata majibu.
Sijawahi ona jibu la ovyo kama hili.Kwa hiyo Mungu huyo mkamilifu tuanze kwanza vigezo vya ndoa anayoibariki yeyeSwali zuri...
Mungu ameshaweka utaratibu wa jinsi ya ku-deal na Sexual desires(nyege), ni njia moja tuu nayo ni kufanya mapenzi na mke wako, sasa unapo masterbate kwanza una engage kweny sexual activities na mwili wako mwenyew😅 pili huwez funga ndoa na mwili wako kama mungu anavotaka kwamba sex lazima ihusishe binadamu wawili waliooana, tatu hata ukitumia dildos or sex toys bado ni dhambi cause kama nilikwambia mwanzo mungu ana utaratibu wake wa haya mambo, masterbation ni uzinifu na ni dhambi, period.