According to Islam, masterbation si dhambi

According to Islam, masterbation si dhambi

Sijaona mwanazuoni mkubwa hata mmoja aliye halalisha bangi labda mawazo hayo kama umeyatoa kwa Maghayo and his vicious barbaric gang.

Waumini wa kiislamu wanatakiwa walinde afya zao za kimwili na kiakili kwa nguvu kubwa na vitu vyote vinavyoharibu afya ya muumini inakuwa haramu kwake ,sasa vitu ulivyotaja madhara yake yapo wazi kabisa hayajajificha na haiitajii mpaka daktari bingwa aseme , hata humu Jf chunguza akili ya Maghayo na genge lake utapata majibu.
Tulia weweee Mongolian savage.
 
Samahani,kwani kwenye bible imeandikwa kuwa ni dhambi?
Swali zuri...
Mungu ameshaweka utaratibu wa jinsi ya ku-deal na Sexual desires(nyege), ni njia moja tuu nayo ni kufanya mapenzi na mke wako, sasa unapo masterbate kwanza una engage kweny sexual activities na mwili wako mwenyew😅 pili huwez funga ndoa na mwili wako kama mungu anavotaka kwamba sex lazima ihusishe binadamu wawili waliooana, tatu hata ukitumia dildos or sex toys bado ni dhambi cause kama nilikwambia mwanzo mungu ana utaratibu wake wa haya mambo, masterbation ni uzinifu na ni dhambi, period.
 
Sijaona mwanazuoni mkubwa hata mmoja aliye halalisha bangi labda mawazo hayo kama umeyatoa kwa Maghayo and his vicious barbaric gang.

Waumini wa kiislamu wanatakiwa walinde afya zao za kimwili na kiakili kwa nguvu kubwa na vitu vyote vinavyoharibu afya ya muumini inakuwa haramu kwake ,sasa vitu ulivyotaja madhara yake yapo wazi kabisa hayajajificha na haiitajii mpaka daktari bingwa aseme , hata humu Jf chunguza akili ya Maghayo na genge lake utapata majibu.
Mkuu sigara haiharibu afya? Mbona ni makrou na watu wanajivutia sana Cairo na Riyadh? Bangi nayo ni jamii ya sigara kwa hiyo nayo ni makrou
 
Si sahihi .... Ni dhambi sababu inakukurubisha kwenye zinaa
 
Kuna ishu kama 3 ambazo zimekuwa zikikosa muafaka;
1. Nyeto
2. Ulaji wa kitimoto
3. Hoja za Dr Janabi.
 
Mkuu sigara haiharibu afya? Mbona ni makrou na watu wanajivutia sana Cairo na Riyadh? Bangi nayo ni jamii ya sigara kwa hiyo nayo ni makrou
Wanazuoni wakubwa wametoa fatwa kuwa Sigara ,Mirungi ,Bangi ni haramu na sio Makruhu.

Search YouTube au maandiko ya kidaktari athari ya hivyo vitu mwilini , vilevile inasababisha kero kwa watu Moshi na harufu mbaya kinywani.

Hata likivutwa Makkah haiahalishi bado.
 
KUJIPA RAHA🤣🤣🤣.sema mgunduzi wa nyeto sijui aliwaza nini
 
Jana wakati napitapita zangu YouTube nikisikiliza mawaidha ya Dr Zakir Naik, I stepped on this little piece information kutoka kwa bingwa mwenyew.

Huyu jamaa kweny video hapo chini nadhani waislamu wengi watakuwa wanamjua, ni bingwa wa kuwasilimisha wakristo, anasifika duniani kote na waislamu kwa kubeba hoja nzito za kiislamu.
Waingereza husema "He is a force to be reckoned with"


View: https://youtu.be/vb2NmDNg6nU?si=hGHDB5R-Y6gu2yN9

Bingwa bhana anasema masterbation(nyeto) sio dhambi na sio haram, bali ni makrooh, maana yake ni nn? Maana yake ni kwamba masterbation(nyeto) sio dhambi bali ni kitendo ambacho haipendez kukifanya ila hata kama utafanya(masterbation) hutapata punishment yeyote, kwamba In islam masterbation is only discouraged but its not sin.

Kwa mujibu wa bingwa amesema njia nzuri yaku-avoid masterbation ni kufunga(fasting), hii inasaidia mwili na akili kukaa sawa na husaidia kupunguza sexual desires(nyege), I myself agree with him, kufunga ni moja ya njia nzuri sana ya kufanya mwili ukae sawa na kuimarisha afya yako.

Bingwa bhana kanishtua sana cause sikuwa na hii information, daaah waislamu mna raha sana mna nyetuka alaf hampati dhambi wala nn.

Hii nchi imejaa watu wajinga sana
~Dr Mollel
 
Sasa kama ni kitendo kisichopendeza kwanini ufanye,
Umejaribu kuangalia faida na madhara yake, kitu chenye madhara mengi kuliko faida, si ruhusa kukifanya kwenye dini.

Tushanyetuka saana, lakini ukweli uko pale pale, kujichukulia sheria mkononi dhambi, mie nikizidiwa nitanyetuka, lakini haimaanishi kuwa ni tendo halali.
Kitendo cha kula chakula kwa mkono wa kushoto hakipendezi lakini sio dhamb.ngoja nkapige nyeto choon
 
Kwa mujibu wa bingwa amesema njia nzuri yaku-avoid masterbation ni kufunga(fasting)
Haiko sawa, kama sote tujuavyo Islamic Fasting hufanyika kuanzia asubuhi hadi jioni na ukiwa na njaa mara nyingi unakuwa huna fikra za kukaza.

Lakini Jua likishazama ukafungua ukala ukashiba NYEGE zinarejea kama zote iñakua ni kubadilisha time za kupiga Nyeto badala ya mchana au asubuhi inakuwa magharibi au usiku.

Kwa hiyo hii mbinu ya kufunga kula mchana haisaidii.

Dawa ya Nyege ni Kuwakaza.
 
Watu Saba ambao hawataingia peponi ni Hawa wafuatao;

Wakwanza yule anayemkera jirani yake.

Wapili ni yule anyefanya hayo uloyaweka mezani.
 
Sijaona mwanazuoni mkubwa hata mmoja aliye halalisha bangi labda mawazo hayo kama umeyatoa kwa Maghayo and his vicious barbaric gang.

Waumini wa kiislamu wanatakiwa walinde afya zao za kimwili na kiakili kwa nguvu kubwa na vitu vyote vinavyoharibu afya ya muumini inakuwa haramu kwake ,sasa vitu ulivyotaja madhara yake yapo wazi kabisa hayajajificha na haiitajii mpaka daktari bingwa aseme , hata humu Jf chunguza akili ya Maghayo na genge lake utapata majibu.
Huwezi kukuta cocain kwenye vitabu bali watahawilisha au kufananisha inaleta madhara gani kama waliyozungumzia akina masters.
Petrol na spirit zote zinaleta handas ila ni uvumbuzi mpya.
Sasa hivi kuna halucination hata ya umeme, electeonics halucination.
Hivyo vitabu havina majibu ya vilevi vya kisasa ila wanafananisha matokeo.
 
Swali zuri...
Mungu ameshaweka utaratibu wa jinsi ya ku-deal na Sexual desires(nyege), ni njia moja tuu nayo ni kufanya mapenzi na mke wako, sasa unapo masterbate kwanza una engage kweny sexual activities na mwili wako mwenyew😅 pili huwez funga ndoa na mwili wako kama mungu anavotaka kwamba sex lazima ihusishe binadamu wawili waliooana, tatu hata ukitumia dildos or sex toys bado ni dhambi cause kama nilikwambia mwanzo mungu ana utaratibu wake wa haya mambo, masterbation ni uzinifu na ni dhambi, period.
Sijawahi ona jibu la ovyo kama hili.Kwa hiyo Mungu huyo mkamilifu tuanze kwanza vigezo vya ndoa anayoibariki yeye
1.ndoa iwe ya watu wazima kuanzia 18
-Mimi nikiwa na miaka 10 nilikuwa na nyege sawa na mtu mwenye miaka 30 miaka 13 nlikuwa naenda kula malaya ambiance .je huyo mungu mkamilifu kwa nini alete nyege kwenye umri usio wa kuoa ? Mlivologwa utasikia ili akupime imani unampima Imani mtoto kwa miaka 8?
2.Kuoana kuwe sababu ni mapenzi sio nyege.yaan ukioa mwanamke huku humpendi ni dhambi
-hivi unajua kuna watu wanaweza wasiwahi penda hadi miaka 40 .mfano mm nilifall in love kwa mara ya kwanza nikiwa na miaka 27 na ndo nlomuoa.kwa hiyo kupenda ni zawadi toka kwa mungu je alikuwa ananijaribu hadi 27
Eti mungu anautaratibu wake Upi wakujaribu viumbe anavojua ni dhaifu ?
 
Back
Top Bottom