Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Mijimama na mabinti/vijana was ccm wanaosaka teuzi kutwa kushinda humoNgoja waje!
Ni mpumbavu mambo ya watu ya faragha ni ya kuachana nayoYule mwanamke mjinga atamaliza mwendo kwa aibu
Ana roho ngumu sana mambo anayoyafanya mtu mwenye akili timamu hawez yafanyaMange ana matatizo ya akili... ana personality ambayo haitofautini sana na Magufuli..
Yaani furaha yake ni kuona wengine waki suffer...
Bonyeza*102#Connection tutapata wapi
Bonyeza*102#
Furahia tu kuona wenzio wanadharirishwa. Subiri siku uje uone connection ya mama yako ndio uuone ubaya wake. Sasa si hazikugusi unafurahia wenzio wanavyoteseka na kudharirishwa, ipo siku itakugusa.Mwamba naona umekomalia kweli kukaza fuvu.....irene dada ako nini
Katika ulimwengu wa Sasa wa kibepali kila kitu ni biashara hata faragha yako ni mtaji kwa wengine.......Kuna watu fantasy zao ni kuona faragha za wengine na hao ndio wanaolipia kwa Mange ili kutazama faragha zako........FURAHA tu kuona wenzio wanadharirishwa. Subiri siku uje uone connection ya mama yako ndio uuone ubaya wake. Sasa si hazikugusi unafurahia wenzio wanavyoteseka na kudharirishwa, ipo siku itakugusa.
Kinachotuangamiza sisi Watanzania ni unafiki.....yaani jambo tunaliona zuri na kulifurahia wakifanyiwa watu wengine.......bila ya kujua kuwa Dunia inazunguka.......Safi kabisa!! Nampongeza aliyeanzisha kampeni ya kum report Instagram. Taifa letu linakumbwa na watu wenye matatizo ya akili.Huwezi ukawa na akili timamu ukafanya ujinga aliokuwa anaufanya huyo kimini!
Karma imefanya yake. Alimdhihaki na kumtukana sana Magufuli, ametesa watu kwa aibu za kijinga, amedhalilisha Mama zetu na baba zetu. Ningekuwa hakimu ningemfunga kifungo cha kunyongwa hadi kufa! She is more than an embicile. Very dumbass being in this world.
Lakini bado kuna wenzetu walifurahia alivyokuwa anawadhalilisha watu. Na bado anawaungwaji mkono wengi ambao naamini wameumizwa na kufungwa kwa akaunti yake. Waendelee kuumia wapumbavu wenzie.
Tunashukur mno mno kwa hiyo kampeni hadi imemfutia akaunti yake.!
Sababu baba yake alibakwaMange ana matatizo ya akili... ana personality ambayo haitofautini sana na Magufuli..
Yaani furaha yake ni kuona wengine waki suffer...
Yes tuendelee kumreport, mpaka USA immigration wa revoke her citizen ship and deport her miserable personality, slander sick body back to Tanzania ajibu tuhuma zake.
Kulia Kiswahili ndo kukoje huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anasemaga ataenda IG HQ alie kiswahili naona yupo njiani sasa.
Mkuu una connection ya Irene uwoyaLeo hatalala usingizi hata kidogo. Wapi lemutuz!?
Wapi Mama Krish!?
Wapi Mama Wema na wengineo!?
Mkuu Kwani una connection unipesasa mdada mrembo kabisa unaenda kuzibuliwa mtaro alafu unakubali kurekodiwa live kabisa, mange akiiturishia hiyo 'connection' mnaanza kumnanga mange ohooo anaingilia faraga, ohooo hufaai ohooo…….! sasa mjinga ni nani apo wewee uliye kubali kurekodiwa live ukiliwa kisamvu cha kopo au mange?? kwa taarifa yako ukirekodiwa live hiyo si faragha tena na ukubali matokeo yake…...ova