Account ya Mange Kimambi yadukuliwa

Account ya Mange Kimambi yadukuliwa

Yes tuendelee kumreport, mpaka USA immigration wa revoke her citizen ship and deport her miserable personality, slander sick body back to Tanzania ajibu tuhuma zake.
Wamarekani hawawez fanya kitu kama hcho ndugu.. wale hawana mihemko.. specialy kwa mwanamke.. sahau. Ndomana anajiamin.. tena anawatoto wa kimarekan. Ndo sahau kabisa.. nayeye analijua hilo... Wanaoweza fanya hvyo ni nchi za kishen.z tu
 
Humu kwenye hii post,kuna pande mbili za watu,wale wanaotaka adhibitiwe Mange,na wanaotaka kujirekodi au kurekodiwa kukome,yaani ni kama mtu una bsnda la kuku,kuku anaenda kuzurula huko,anafukuzwa na kicheche,mwingine anaona kumdhibiti kicheche asimle kuku ndiyo njia nzuri,mwingine anaona amdhibiti kuku,amuonye asiwe anatoka bandani kwasababu ataliwa na kicheche,naye anaona hiyo njia ni nzuri,anyway ukiangalia watu ambao video zomevuja,maadili yao ni questionable,sidhani kama kuna baba na mama wa mtu,ambao wanaishi kimaadili,wanafuatwa makwao wanarekodiwa au wanajirekodi wanaziweka kwenye simu zao,kiasi cha mtu anaweza akajirushia.MAADILI jamani.
 
Acha kuongea kama papasi mweupe juha wee. Mtu akitaka kuku record atafanya tu hata bila we kujua. Kwani Lemutuz alijua wakati anarekodiwa akiwa ametoka bafuni?

Unaonekana mwenye akili kumbe kiazi tu
Binti mbona povu kama Mama mjane aliyedhulumiwa mali za urithi wa marehemu mumewe?
 
Mange Kimambi anaonekana ana tatizk la ubonga

Lakini Malaya Uwoya anaonekana ana haki.

Mjini unaishi maisha mazuri kuliko wanawake wenye elimu even PhD holders afu unajisifu kumbe UMALAYA tu afu watu hawamsemi wanakomaa na Kimambi
 
Binafsi sioni kama kujirekodi kuna shida.
Ni mtu na uhuru wake tu, kajirekodi kujifurahisha yeye tu. Hiyo ya kumchafua kwa kuzivujisha sio poa kabisa.

Ingekua kaweka public na nyie muone hapo sawa, sambaza utakavyo lakini kumdukua ili umdhaliliahe hiyo haijakaa sawa.

Na huenda wengine wanarekodiww na watu wanawaamini, hao nao utasema wadhalilishwe tu na huyo mange.
Ko mwisho wa siku mtu kujirekodi kwa matumizi yake binafsi wala hakuaffect shughuli za watu wengine, ila inapokuja hiyo ya kuvujishiana ndo hapo maadili yanapokongoroka.
 
Tatizo linaanzia kwa hao wanao jirekodi,kwanini ukubali kurekodiwa? Kwanini wapenzi wakigombana wana anza kuvujisha vdo clp zao? Huo ni udhaifu tu,

Sio kwamba namtetea huyo Mange bali mkiacha kujirekodi huyo Mange atapata wapi hizo connection?

Dunia ya leo kila kitu ni biashara,usimuamini mtu.

Unatia aibu mkuu, ni sawa na kusema mwanamke alijitakia kubakwa kwa kua alivaa nguo iliombana. Kuvujisha faragha za watu bila ya ridhaa ya muhusika ni kosa kobwa sana kisheria na hata kijamii. ni kudhihirisha kuwa huna utu kabisa ndani ya roho yako.
Usitetee ushenzi ndugu.
 
Unatia aibu mkuu, ni sawa na kusema mwanamke alijitakia kubakwa kwa kua alivaa nguo iliombana. Kuvujisha faragha za watu bila ya ridhaa ya muhusika ni kosa kobwa sana kisheria na hata kijamii. ni kudhihirisha kuwa huna utu kabisa ndani ya roho yako.
Usitetee ushenzi ndugu.
Sasa anayetia aibu hapa ni mimi au wewe? Hapa sijaongelea vdo clp za waliobakwa,wala sijamsapoti huyo mange anachokifanya,soma tena comment yangu na upunguze kua mpumbavu.
 
Mwanzo ulionekana mwenye akili kabla hujaingiza hizo pumba za kusema alimtukana magufuli. Kwani magufuli alikua nani asitukanwe na hawa wengine wana uhalali gani wa kutukanwa? Wao sio watu au. Pimbi maji wee
wacha nimsaidie kukutukana.

magufuli alikuwa rais,malaya wewe.unaweza mdharau yeye lakini sio cheo chake.
leo hii huyu kahaba anatumia upopoma wa wabongo kujinasua ktk lindi la umasikini wake.

bahati mbaya wakati anamtusi magufuli hukujua nia yeke ilikuwa ni hiki anachokifanya sasa,ila sababu akili umempa mmeo wala huwezi jua.
 
Wamarekan hawawez fanya kitu kama hcho ndugu.. wale hawana mihemko.. specialy kwa mwanamke.. sahau. Ndomana anajiamin.. tena anawatoto wa kimarekan. Ndo sahau kabisa.. nayeye analijua hilo... Wanaoweza fanya hvyo ni nchi za kishen.z tu
Hapa bongo hatarudi tena? Naona mnafikiria juu juu sana

Serikali inaweza isiwe na meno kutokana na sheria za nchi aliyokuwa akiishi wakati akifanya ujahili

Watu na hasira zao wanajua hawatamuweza kisheria, pyuu pyuu za matako nazo washindwe?

Labda kama ataishi huko milele
 
Mange Kimambi anaonekana ana tatizk la ubonga

Lakini Malaya Uwoya anaonekana ana haki.

Mjini unaishi maisha mazuri kuliko wanawake wenye elimu even PhD holders afu unajisifu kumbe UMALAYA tu afu watu hawamsemi wanakomaa na Kimambi

chuki na choyo vinakutesa ndugu
 
Back
Top Bottom