Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
sawachuki na choyo vinakutesa ndugu
🌚Any updates??
Mwamba amerudi.Any updates??
Akaunti imerudi na soon ataanza kurusha mabomu yake.Any updates??
HV matola wew wa kumuita mange mwamba ,mwamba wa nn huyo Malaya janaume zima kbsa unaenda kudowload app ya mpashkuna Kama huyo ,hapan mkuu siyo saawaa hili achana nae Kam Ni umbeya ,umbeya mcheki cocastiMwamba amerudi.
Ipo siku atauawa..tatizo haoni hiyo possibilityTukae tayari kavurugwa na huyu bipolar.
Duhhh!! Na Atawanyoosha kam kawa!!!!Mwamba amerudi.
Nidhamu ya uoga hiiIpo siku atauawa..tatizo haoni hiyo possibility
Nasikia ana koneksheni ya mtoto wa rais...huko kakanyaga kubaya,ikiwa familia ya rais Kuna muuza ngada,wauza ngada Wana watu USA..atakufa kibudu soonNidhamu ya uoga hii