Account ya Twitter ya hayati Magufuli yaondelewa "blue tick!"

Account ya Twitter ya hayati Magufuli yaondelewa "blue tick!"

exactly, na hiko ndicho nachokubali mimi nawakubali viongozi walioogopwa mfano Mobutu aliogopwa na hadi wasaidizi wake mfano mkalimani wake alisema alifanya kazi kwa hofu sana maana alijua muda wowote ni kifo,mawaziri na ma gavana wa benki waliogopa kumzingua pia
hii hata nicholo machiavelli anaipenda,alisema , "if one has to chose whether it is better to be loved than feared or better to be feared than loved i say it is safer to be feared"
Sawa kama mtu wa hivyo ndio anakufurahisha maana binadamu tuna mitazamo tofauti.
 
Huwa zinaondolewa mtu akifa, unless ndugu wa karibu wakaombe upya kuitumia hiyo acc iwe kama foundation au shirikisho kumuenzi hayati
 
Back
Top Bottom