Account yangu ya chuo inaonesha financial sponser ni Private badala ya HESLB. Nifanye nini?

Account yangu ya chuo inaonesha financial sponser ni Private badala ya HESLB. Nifanye nini?

yuzzo jr

Member
Joined
May 15, 2021
Posts
16
Reaction score
15
Nimeomba mkopo na nimefanikiwa kupata, ila nikiingia kwenye account yangu niliyosajiliwa chuo sehemu ya financial sponser inaonyesha ni private badala ya HESLB na sehemu ya HESLB loan amount inaonyesha 0.00. Inaweza kuwa tatizo nikatoe taarifa chuo au niache mkopo wangu utaingia kama kawaida.
 
tulia acha wenge ukifika chuo utapewa maelekezo yote ilimrad heslb wawe wamekupangia mkopo
Nimeomba mkopo na nimefanikiwa kupata,ila nikiingia kwenye account yangu niliyosajiliwa chuo sehemu ya financial sponser inaonyesha ni private badala ya HESLB na sehemu ya HESLB loan amount inaonyesha 0.00.Inaweza kuwa tatizo nikatoe taarifa chuo au niache mkopo wangu utaingia kama kawaida.
 
Wewe yako madogo ni mdogo wangu batch 1 mkopo alipata lakini juzi naingia kwenye sipa yake nakutana na status mpya ya kukosa mkopo basi aina shida tumekubali tumemuachia mungu
 
Wewe yako madogo ni mdogo wangu batch 1 mkopo alipata lakini juzi naingia kwenye sipa yake nakutana na status mpya ya kukosa mkopo basi aina shida tumekubali tumemuachia mungu
Kama upo Dar nauli yako chap unaweza kuwahi kujielezea kabla mambo hayajawa mengi.
 
Ikifika mwezi wa 11 utawekewa hiyo Ada hela hazijatumwa vyuoni Bado! So kuwa na Amani dogo
 
Nimeomba mkopo na nimefanikiwa kupata,ila nikiingia kwenye account yangu niliyosajiliwa chuo sehemu ya financial sponser inaonyesha ni private badala ya HESLB na sehemu ya HESLB loan amount inaonyesha 0.00.Inaweza kuwa tatizo nikatoe taarifa chuo au niache mkopo wangu utaingia kama kawaida.
System will update ondoa shaka
 
Usikate tamaa mkuu
Nenda loan board
Kumbuka ni maisha yako
Hapana ndugu mimi maswala ya bodi nishasahau miaka 5 iliyopita huyo ni ndugu yangu pia bodi nawajua nilisumbuka nao takribani miaka 3 ndo mana nakwambia ni kuchoma nauli awana msaada wowote wale
 
Back
Top Bottom