Accountancy Vs Insurance and Risk Management

Accountancy Vs Insurance and Risk Management

Siza Boy

Member
Joined
May 25, 2020
Posts
80
Reaction score
43
Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..

Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.

So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
 
Accountancy inahusika utojuta mkuu, utafanya kazi kila taasisi tofauti na insurance
 
Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..

Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.

So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
CAG [emoji851]
 
Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..

Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.

So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Nenda Accountancy bila kusita
 
Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..

Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.

So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Unapoteza muda tu Bongo Dar es salaam form four ya division four inatosha sana
 
Duuh hayo yote mpaka umalize jumla inakuwa n miaka mingap.?
Miaka ya daktari hivi, sio mbaya kama mtu atakomaa hasa vijana wanaoanza chuo mapema na miaka 20 akifika 25 kamaliza walau CPA kama atakuwa mzuri wa uhasibu.

Kuanzia hapo chance za kutoboa zinakuwa wazi. Cha msingi ajiingize intern kwenye auditing firms huwa channel zinapatikanaga kule kule.
 
Back
Top Bottom