Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..
Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.
So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.
So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!