Kingthaiman
Member
- Dec 11, 2020
- 14
- 6
Mimi nimepata bcom in information and system management. Imekaahe hii au niitemeDogo chukua accountancy,
Ukimaliza piga CPA,
Baada ya CPA piga ACCA,
Life is good[emoji6][emoji6].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimepata bcom in information and system management. Imekaahe hii au niitemeDogo chukua accountancy,
Ukimaliza piga CPA,
Baada ya CPA piga ACCA,
Life is good[emoji6][emoji6].
Bachelor of Accounting ni nzuri sana kuliko Insurance hasa linapokuja suala la ushindani katika soko la ajira kwa mapana yakeSo kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Chuo gani hicho dogo ?Mimi nimepata bcom in information and system management. Imekaahe hii au niiteme
Wazo zuri pia mkuu. I adore itMiaka ya daktari hivi, sio mbaya kama mtu atakomaa hasa vijana wanaoanza chuo mapema na miaka 20 akifika 25 kamaliza walau CPA kama atakuwa mzuri wa uhasibu.
Kuanzia hapo chance za kutoboa zinakuwa wazi. Cha msingi ajiingize intern kwenye auditing firms huwa channel zinapatikanaga kule kule.
UdomChuo gani hicho dogo ?
Vikana wengi hapo ndipo tunapo fail tukiamini eti muda utachelewaDuuh hayo yote mpaka umalize jumla inakuwa n miaka mingap.?