Dah Accountancy kumbe ipo vizuri hiviHazijawahi pita siku mbili wasitangaze ajira ya Accountancy.
zote znahajira hakuna coz isiyo na ajira.......Ajira yako n CONNECTION kama huna CONNECTION imekula kwako soma TAFUTA CONNECTION utakuja nikumbuka kwaherWana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses
Duh asante kumbe ipo wide iviiAccountancy inahusika utojuta mkuu, utafanya kazi kila taasisi tofauti na insurance
Asante kiongozi,, ngoja tutafute connection mapema tuuzote znahajira hakuna coz isiyo na ajira.......Ajira yako n CONNECTION kama huna CONNECTION imekula kwako soma TAFUTA CONNECTION utakuja nikumbuka kwaher
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Shukrani kiongiziSoma accountancy achana na insurance haina ajira
Nimeshapata kiongozi.
CAG [emoji851]Wana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..
Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.
So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Mmmh kama inakuja inakataa iviiConnection ipo?
Nenda Accountancy bila kusitaWana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..
Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.
So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Duuh hayo yote mpaka umalize jumla inakuwa n miaka mingap.?Dogo chukua accountancy,
Ukimaliza piga CPA,
Baada ya CPA piga ACCA,
Life is good[emoji6][emoji6].
Unapoteza muda tu Bongo Dar es salaam form four ya division four inatosha sanaWana Jf nahitaji msaada wa mawazo yenu kwa wale wazoefu wa hizo courses..
Nimechaguliwa Course ya Insurance and Risk management "IFM",, But Nina wazo la kubadili niende Accountancy.
So kwa wanao fahamu Course nzuri na yenye ajira kidog kati ya hizo mbili nahitaji msaada wenu!!
Miaka ya daktari hivi, sio mbaya kama mtu atakomaa hasa vijana wanaoanza chuo mapema na miaka 20 akifika 25 kamaliza walau CPA kama atakuwa mzuri wa uhasibu.Duuh hayo yote mpaka umalize jumla inakuwa n miaka mingap.?
hujaeleweka??Unapoteza muda tu Bongo Dar es salaam form four ya division four inatosha sana