Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.
Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.
Guys I am sorry
1.thinking hii ni globu ya wanajamii,I took it for granted. Anyway ni Tanzanias shillings zote
2.Kinyamana/BelindaJacob-duuuh mnanimaliza,mnisamehe but that is what I can afford for now for a PART TIMER.Jamani kwa kuwa mimi nina njaa na mimi natafuta accountants wenye njaa(250,000Tshs/month) after all sihitaji wenye ma CPA au ma degree jamani,sasa kuzifanyia kwa labda saa 5/wiki na labda ikawa weekend ni kidogo,lakini ni kidogo kiasi hicho?Mbona mnataka kunifanya niendelee kuchengana na TRA?
Part time Accountant needed: Salary-250,000/month max.,transactions-maximum 100Million/Month,must be Computer literate/ should be able to prepare P/L account books ready for TRA. We are VAT exempted. Can be based in DSM or Iringa,should be ready to start by May. If interested send your CV to rakeyescarl@yahoo.ie/ We will reply to all- successful and unsuccessful candidates.
Watanzania bana...sijui kwanini mchawi wetu alituachia akili za kuvuka barabara tu..
Mtu kaweka nafasi ya kazi. Katoa details za mshahara, aina ya employment (Part Time), na sehemu ya kazi (Dar au Iringa). Lakini kwa sababu zisizo za msingi watu mnabeza "oh sijui kwa mshahara huo utawapata wahasibu wenye njaa. oh sijui kwa mshahara huo, lazima mhasibu acheze na transaction. Oh sijui blah blah blah."
Kwa nini lakini? Mbona tuko hivi? Yaani badala ya watu kudadisi kuhusu job functions ya hiyo position (kabla ya kushambulia kiwango cha mshahara), mnakejeli. Yaani kusoma neno "Accountant" tayari mmehusisha na "heavy duty" procedures. Au ni hiyo term P/L na volume ya 100m ndio imewafanya mfikirie kuwa ni lazima itakuwa kazi ya kutoa jasho kwelikweli? Ni vipi ikiwa kazi ya journal entry/data entry (yes kazi nyingi za journal entry wanazipa title ya accountant) au Accounts Receivable/Payable job, bado mtataka mlipwe nusu milioni kwa mwezi?
Halafu mwingine anaomba afafanuliwe kama mshahara uko kwenye currency ya $, Tshs, Kshs or other. Yaani nini kimekufanya ufikirie kuwa hiyo namba inaweza kuwa kwenye currency nyingine zaidi ya Tshs? Je ni Accountant, P/L, or 100m, TRA, VAT or Computer literate???
Tuache hizi tabia za kukimbilia kuzodoa. Zinabomoa. Swali la msingi la kumuuliza aliyepost hiyo kazi ni kuorodhesha job functions kwanza. Then tutajadili kutoka hapo (kama ikibidi).
Watanzania bana...sijui kwanini mchawi wetu alituachia akili za kuvuka barabara tu..
Mtu kaweka nafasi ya kazi. Katoa details za mshahara, aina ya employment (Part Time), na sehemu ya kazi (Dar au Iringa). Lakini kwa sababu zisizo za msingi watu mnabeza "oh sijui kwa mshahara huo utawapata wahasibu wenye njaa. oh sijui kwa mshahara huo, lazima mhasibu acheze na transaction. Oh sijui blah blah blah."
Kwa nini lakini? Mbona tuko hivi? Yaani badala ya watu kudadisi kuhusu job functions ya hiyo position (kabla ya kushambulia kiwango cha mshahara), mnakejeli. Yaani kusoma neno "Accountant" tayari mmehusisha na "heavy duty" procedures. Au ni hiyo term P/L na volume ya 100m ndio imewafanya mfikirie kuwa ni lazima itakuwa kazi ya kutoa jasho kwelikweli? Ni vipi ikiwa kazi ya journal entry/data entry (yes kazi nyingi za journal entry wanazipa title ya accountant) au Accounts Receivable/Payable job, bado mtataka mlipwe nusu milioni kwa mwezi?
Halafu mwingine anaomba afafanuliwe kama mshahara uko kwenye currency ya $, Tshs, Kshs or other. Yaani nini kimekufanya ufikirie kuwa hiyo namba inaweza kuwa kwenye currency nyingine zaidi ya Tshs? Je ni Accountant, P/L, or 100m, TRA, VAT or Computer literate???
Tuache hizi tabia za kukimbilia kuzodoa. Zinabomoa. Swali la msingi la kumuuliza aliyepost hiyo kazi ni kuorodhesha job functions kwanza. Then tutajadili kutoka hapo (kama ikibidi).