Daah!Hadi huruma mama wa watu, lakini kayataka mwenyewe
Nakuona JK ameshika kichwa, Pengo anaomba Mungu hali isichafukeDaah!
Mi huwa naumia sana mtu mwingine anapodharaulika public.Siyo vizuri aiseeNakuona JK ameshika kichwa, Pengo anaomba Mungu hali isichafuke
mh nasubiri commentsAtakae angalia atuambie kama jamaa alitumia hata kinga kweli...😜
Naye ajirekebishe bwana, siyo kuteuateua tu! Hiyo nafasi huyu mama anipe mimi amtumbue Bashite!Hadi huruma mama wa watu, lakini kayataka mwenyewe