Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Haya maisha raha sana, mwaka huu baada ya kutembelea Tunduru miezi kadhaa ilopita, nikarudi town, punde baada ya kurejea sikupata simu, meseji, wala chats toka kwa baadhi ya marafiki wa karibu.
Nilijiuliza sana sana niliona kama masihara vile, baada ya siku tatu Mama mchungaji Lt akanipigia simu.
Akasema mwanangu nikuulize swali, nikajibu ndio, akasema vipi mahusiano yako na marafiki zako uliowazoe yanaendeleaje?Nikajibu hayako vizuri hawanitafuti wananikwepa na wako kimya.
Akasema ndio majibu ya yale maombi mwanangu, usiogope hata shambani tunafanya parizi, tunatoa magugu, Mungu ametenda hao ndio waliokuwa ngedere katika maisha yako. Usiogope mwanangu hawatarudi tena kwenye maisha yako.
Basi ninashukuru sana na nina amani tele. Mungu yupo tumpe nafasi nafsini mwetu.
Best wishes Usiogope kupoteza marafiki wabaya Mungu anatenda.
Good day!
Nilijiuliza sana sana niliona kama masihara vile, baada ya siku tatu Mama mchungaji Lt akanipigia simu.
Akasema mwanangu nikuulize swali, nikajibu ndio, akasema vipi mahusiano yako na marafiki zako uliowazoe yanaendeleaje?Nikajibu hayako vizuri hawanitafuti wananikwepa na wako kimya.
Akasema ndio majibu ya yale maombi mwanangu, usiogope hata shambani tunafanya parizi, tunatoa magugu, Mungu ametenda hao ndio waliokuwa ngedere katika maisha yako. Usiogope mwanangu hawatarudi tena kwenye maisha yako.
Basi ninashukuru sana na nina amani tele. Mungu yupo tumpe nafasi nafsini mwetu.
Best wishes Usiogope kupoteza marafiki wabaya Mungu anatenda.
Good day!