Sijawahi kujua nilimkosea nini rafiki yangu kipenzi Don
Utoto tulicheza wote , o_level alinibeba nikaitwa kichwa.
Siri yangu ilikuwa yake , advance ilianza kututenganisha kidogo mwisho chuo ikawa tunameet baadhi ya weekend .
Mwisho mawasiliano yakawa hafifu daily mimi ndiye wa kumtafuta .
Oya Don mimi mwanao bado naishi na sonona juu yako sijui ni kipi nilikukosea kama kipo nisamehe tena na tena .
Daily nikipiga nikikuuliza what's up mpaka umekuwa hivyo unasema hakuna lolote ila sio yule ninayemjua.
Sio kila rafiki akiondoka basi ni kheri wapo ambao ni ngumu kukubali aondoke maishani mwako ila unakuta yeye ndiye anajitenga unakubali huku ukiwa unaumia sana .
Ikiwa humo humu tell me what's up my Nigga.
Sent using
Jamii Forums mobile app