Acha Baadhi ya Marafiki wako Waondoke Usiogope

Acha Baadhi ya Marafiki wako Waondoke Usiogope

Sijawahi kujua nilimkosea nini rafiki yangu kipenzi Don

Utoto tulicheza wote , o_level alinibeba nikaitwa kichwa.

Siri yangu ilikuwa yake , advance ilianza kututenganisha kidogo mwisho chuo ikawa tunameet baadhi ya weekend .

Mwisho mawasiliano yakawa hafifu daily mimi ndiye wa kumtafuta .

Oya Don mimi mwanao bado naishi na sonona juu yako sijui ni kipi nilikukosea kama kipo nisamehe tena na tena .

Daily nikipiga nikikuuliza what's up mpaka umekuwa hivyo unasema hakuna lolote ila sio yule ninayemjua.

Sio kila rafiki akiondoka basi ni kheri wapo ambao ni ngumu kukubali aondoke maishani mwako ila unakuta yeye ndiye anajitenga unakubali huku ukiwa unaumia sana .

Ikiwa humo humu tell me what's up my Nigga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ondoa hofu ni kusudi la Mungu, mmea usio soko hukosa wivu ila punde ukipata soko ndio utajua, usijute ndio njia za maisha
 
Sijawahi kujua nilimkosea nini rafiki yangu kipenzi Don

Utoto tulicheza wote , o_level alinibeba nikaitwa kichwa.

Siri yangu ilikuwa yake , advance ilianza kututenganisha kidogo mwisho chuo ikawa tunameet baadhi ya weekend .

Mwisho mawasiliano yakawa hafifu daily mimi ndiye wa kumtafuta .

Oya Don mimi mwanao bado naishi na sonona juu yako sijui ni kipi nilikukosea kama kipo nisamehe tena na tena .

Daily nikipiga nikikuuliza what's up mpaka umekuwa hivyo unasema hakuna lolote ila sio yule ninayemjua.

Sio kila rafiki akiondoka basi ni kheri wapo ambao ni ngumu kukubali aondoke maishani mwako ila unakuta yeye ndiye anajitenga unakubali huku ukiwa unaumia sana .

Ikiwa humo humu tell me what's up my Nigga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume wa Dar akimlilia mwanaume mwenzake.

Wanaume wa mkoani tuchape kazi.
 
Mweleze tu asizungumzie ndugu zako mengine yanazungumzika. Usije ukaja kuwa kibaka Kwa kukosa koneksheni za madili
Naomba ushauri kidogo nina marafiki ila tuanze na huyu tunapiga nae kazi fresh tu yeye ndo ananiita vikazi vikitokea, shida moja anadharau ndugu zangu na kusema vibaya wakati mi hajui naumia, kwa sasa nimekaa kimya, ila najua nayoongelewa huko sijui tu, au mimi ndo rafiki adui kichwa kinauma kwakweli
 
Ondoa hofu ni kusudi la Mungu, mmea usio soko hukosa wivu ila punde ukipata soko ndio utajua, usijute ndio njia za maisha
Dah kaka sio rahisi kwa mtu uliyemzoea since 12 years na sasa uzee huu

Yaani ni ngumu ila mwamba namkubali kichizi
 
Mweleze tu asizungumzie ndugu zako mengine yanazungumzika. Usije ukaja kuwa kibaka Kwa kukosa koneksheni za madili
Mkuu mimi ni yule mtu sipendi kuweka vitu vyangu wazi lakini nisiposema mambo wala kumwambia naonekana mnafiki, nadhani ata sasa namba yangu kashafuta, ila tunaonana tu, au mimi ndo mwenye shida,
 
Mkuu mimi ni yule mtu sipendi kuweka vitu vyangu wazi lakini nisiposema mambo wala kumwambia naonekana mnafiki, nadhani ata sasa namba yangu kashafuta, ila tunaonana tu, au mimi ndo mwenye shida,
Tafuta hela ,huo muda wa kushinda unatafuta mtu awe rafiki yako ni matumizi mabaya ya akili ....
 
Wanasema "small circle" ni kwa wakishua tu, Kama ni mwenzetu na sie, usije ukajiweka mbali mzee, utajuta. Rasilimali watu inamatter sana hasa kwa maisha ya kibongo bongo.
Sentensi ya kwanza n moja ya sentensi bora nimewahi zisoma hapa JF....mambo ya small circle tuwaachie wa kishua
 
Marafiki ni wakati upo mdogo tu mkicheza nje ya nyumba
Ila tunapokuwa watu wazima tuna watu wa karibu tu
Urafiki hauna maana kabisa
Kwanza jiamini mwenyewe na fanya mambo yako
Pili jiwekee akiba hata iwe kiasi kidogo we weka tu
Tatu jifunze kuwa peke yako na mambo yako yawe siri yako

Nne jifunze na usome sana yaani jipe mda kujielemisha na mambo mengi wee soma tu sana
Tano angalia afya yako hakuna anaekujali zaidi yako mwenyewe

Na Sita Usisubiri mtu akupende
Jifunze kujipenda mwenyewe kwanza

Zingatieni ushauri huu ili baada ya miaka 40 mnikumbuke
 
Wanasema "small circle" ni kwa wakishua tu, Kama ni mwenzetu na sie, usije ukajiweka mbali mzee, utajuta. Rasilimali watu inamatter sana hasa kwa maisha ya kibongo bongo.
Kuwa na small circle haimaanishi

usisalimie au udharau watu

Usijitoe pale utakapohitajika na watu mnaojuana

Usitengeneze connections za kupeana fursa

Kuwa na small circle kwangu naelewa ni kuwapa watu wachache access ya undani wa maisha yako.

It's all about kuweka boundaries na kuwapa thamani watu kutokana na space waliyonayo katika maisha maana si kila mtu ni rafiki yako

Bahati mbaya wengi hili hulijua pale wanapopatwa na shida kubwa

Sababu alikuwa kazungukwa na watu wengi muda wote anadhani mambo yatakuwa rahisi. Kumbe hakuwa na marafiki bali workmates, business partners na kampani za kuinjoi weekends

Watu Wote walifuata interests flani na kwa kuwa hazipo tena, wanaondoka wote.

Unatakiwa kuwa na watu ambao ni watu wako hata kama ni wawili au mmoja cause a friend to everybody is a friend to non 🙏
 
Wakati ukiwa unawaondoa marafiki wabaya kwenye maisha yako, au wasio na faida, jaribu kufikiria wewe umekua mwema kiasi gani kwa wengine na umekua wa faida kwa kiasi gani kwa wengine .
 
Kuwa na small circle haimaanishi

usisalimie au udharau watu

Usijitoe pale utakapohitajika na watu mnaojuana

Usitengeneze connections za kupeana fursa

Kuwa na small circle kwangu naelewa ni kuwapa watu wachache access ya undani wa maisha yako.

It's all about kuweka boundaries na kuwapa thamani watu kutokana na space waliyonayo katika maisha maana si kila mtu ni rafiki yako

Bahati mbaya wengi hili hulijua pale wanapopatwa na shida kubwa

Sababu alikuwa kazungukwa na watu wengi muda wote anadhani mambo yatakuwa rahisi. Kumbe hakuwa na marafiki bali workmates, business partners na kampani za kuinjoi weekends

Watu Wote walifuata interests flani na kwa kuwa hazipo tena, wanaondoka wote.

Unatakiwa kuwa na watu ambao ni watu wako hata kama ni wawili au mmoja cause a friend to everybody is a friend to non 🙏
Duly noted with thanks🙏🏾, but I stand by my view 😎
 
Back
Top Bottom