Acha kutafuta pesa kwa kuwatumikisha watoto

Acha kutafuta pesa kwa kuwatumikisha watoto

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.

Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.

Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.

Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.

Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.

Acha
 
Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.

Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.

Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.

Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.

Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.

Acha
Yani mada za msosi zimetawala jamvini. Yani wana kuwaza kula kula tu. Hapa tu mleta mada nia yake kuchomekea mayai tu si eti ana uchungu na hao madogo. Hii siyo nzuri kwa ustawi wa jamii na kupanua wigo mpana katika nyanja mbali mbali za maendeleo.

TUFANYENI KAZI ASEE

Nyau de adriz
 
Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.

Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.

Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.

Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.

Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.

Acha
Mimi mtazamo wangu hapo ni tofauti,si watu wote wanaenda shule,suala ni je huyo anayekufanyia kazi zako naye ananufaika? kama una msichana wa kazi akipata mchumba unamsaidia ili naye awe na kwake?
Je,anapoumwa unamsaidia kumtiibia au unamtaka atumie mshahara wake huo mdogo kujitibia n.k
Nakubaliana na wewe kuwatendea mema uliowaajiri, tujiulize wanaofanya kazi kwenye taasisi kubwa zenye majina
mfano kwa mo na baresa wanalipwa sawasawa na jasho lao wanalotoa? tusiangalie hawa wauza miwa wanaopewa chakula na malazi.
 
Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.

Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.

Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.

Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.

Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.

Acha
Asante. Ujumbe umewafikia.
 
Back
Top Bottom