Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.
Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.
Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.
Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.
Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.
Acha
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.
Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.
Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.
Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.
Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.
Acha