Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Nakupenda.mshamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupenda.mshamba
Waafrica tunapenda sana kutishana, yani hata mzazi mwenyewe anamtisha mtoto "ntakulaani"Peak capitalism, waarabu na wazungu walitajirika through watumwa na hamna laana yoyote.
Mimi ndio maana nakuwa mgumu kusaidia walemavuTabia mbaya na kukosa utu.Kuna wale wanaoleta hadi walemavu na msukuma kigari,kisha usiku anakusanya mapato,anawapa elf 5 au 10 kila mmoja.
Comrade, huu ndiyo Ubepari sasa! Kwenye hii dunia ya sasa hakikisha unapambana vilivyo. Ukiendekeza haya mawazo yako ya Ujamaa, utaufa masikini.Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.
Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.
Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.
Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.
Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.
Acha
Bora nisipate pesa kuliko kuwa na pesa za kutumikisha vitoto vya watuComrade, huu ndiyo Ubepari sasa! Kwenye hii dunia ya sasa hakikisha unapambana vilivyo. Ukiendekeza haya mawazo yako ya Ujamaa, utaufa masikini.
Kama hiki ulichokiongea kingekuwa na mashiko, basi watu wenye ngozi nyeupe mpaka muda huu wangekuwa wamelaaniwa! Maana hawa ndiyo wanyonyaji namba moja duniani!! Badala yake unajionea mwenyewe! Wanazidi tu kusomba raslimali zetu kwa kushirikiana na viongozi wetu wabinafsi; na hivyo mwisho wa siku kutuacha katika hali ya umasikini.
kumbe wanalipwa 50,mpaka 80 mkuu, hao unaowaita watoto hizo kazi wanazitafuta wenyewe hakuna anayeenda kuwateka na kuwafanyia hivyo, na wao wako kazini na hizo 70 au 80 wanatumaga kwao zinawasaidiaHapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.
Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.
Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.
Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.
Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.
Acha
Comrade, ukitaka uyafaidi maisha ya hapa duniani! Au ukitaka kuheshimiwa na kila mtu, kiasi cha kufikia hatu ya kuitwa Mtukufu, Mheshimiwa, Boss, nk. Miliki tu moja ya hivi vitu viwili hapa;Bora nisipate pesa kuliko kuwa na pesa za kutumikisha vitoto vya watu
mshambaNakupenda.
Kijakazi yeyote ni mtumwa kwa bwana wake aliyempa ujira.. asiye fanya kazi na asile.Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.
Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.
Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.
Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.
Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.
Acha
Ni ugumu tu wa maisha watoto wanaopitia kijijini huko ila Mungu awalinde tu.Hapa naongea katika Roho
Kuna watu wanakusanya watoto wa maskini kutoka kijijini na kuwatumikisha kwa kuuza vitu vidogo vidogo kama mayai ya kuchemshwa, kandoro au miwa.
Mtu anakuwa na vijana 5 au zaidi anawaweka kwenye chumba kimoja anawafanya watumwa wake huku watoto wake mwenyewe akiwasomesha kwa jasho la watoto wadogo hawa anaowafuga.
Kwakuwa watoto wametoka kijijini kwenye familia maskini wanaona sawa tu , mwisho wa mwezi anawapa elfu 50, 60, 70 au 80.
Unajilaani wewe na kizazi chako, unakipalia moto kizazi chako. Acha. Mungu mtetezi wa yatima na maskini yu hai , kama sio wewe basi watoto wako au wajukuu zako watalipwa kwa uchungu.
Huwezi kuwasaidia waache huko kijijini waishi kwa amani na furaha. Sio unawadaa kuwa kuna kazi Dar then wanafika huku unawatwika mayai.
Acha
Halafu mbona serikali iko kimya tu?Mimi mtazamo wangu hapo ni tofauti,si watu wote wanaenda shule,suala ni je huyo anayekufanyia kazi zako naye ananufaika? kama una msichana wa kazi akipata mchumba unamsaidia ili naye awe na kwake?
Je,anapoumwa unamsaidia kumtiibia au unamtaka atumie mshahara wake huo mdogo kujitibia n.k
Nakubaliana na wewe kuwatendea mema uliowaajiri, tujiulize wanaofanya kazi kwenye taasisi kubwa zenye majina
mfano kwa mo na baresa wanalipwa sawasawa na jasho lao wanalotoa? tusiangalie hawa wauza miwa wanaopewa chakula na malazi.
Umejibu sahihi kabisa na wengi wametoboa kwa njia hii hasa pale kariakoo wengine wamerudi kuwa msaada kwa boss zaoWanajifunza biashara, kitu ambacho kitawasaidia sana maishani mwao
unafikiri kutoboa ni rahisi eti kama kunyaHalafu madogo kama hao ndo wanakujaga kutoboa ...
😍😍😍mshamba
Hakika.....Umejibu sahihi kabisa na wengi wametoboa kwa njia hii hasa pale kariakoo wengine wamerudi kuwa msaada kwa boss zao
Hakuna utumwa ni kufundishwa maisha