Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Wiki iliyopita baada ya shule na vyuo vingi kufungwa nilikosa kabisa usafiri wa kunitoa Dodoma kwenda Arusha kwani mabasi yale yenye majina makubwa yote yalikuwa yamejaa.
Jioni kabisa nikakumbuka huduma ya kubook online hivyo nika jaribu
Ikatokea; www.busbora.co.tz
Jioni kabisa nikakumbuka huduma ya kubook online hivyo nika jaribu
Ikatokea; www.busbora.co.tz