CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Ukiona mambo hayakuhusu si unapita hivi? mimi tabia yangu kama mambo hayanihusu huwa napita kimya kimya.Jifunze kuandika vizuri kwanza..sio kukurupuka tu..unajivunia kuwa verified?? Umefaidika na nn tangu wakujue unafuga kuku??u knw nutting abt business, branding ..yaani upo upo tu
Unaemtisha kuanzisha forum ako nani sasa..sisi tunachopinga hapa nikuletewa thread za upupu ..hatuzitaki!!!!!!
wewe na nani? make umesema sisi,Jifunze kuandika vizuri kwanza..sio kukurupuka tu..unajivunia kuwa verified?? Umefaidika na nn tangu wakujue unafuga kuku??u knw nutting abt business, branding ..yaani upo upo tu
Unaemtisha kuanzisha forum ako nani sasa..sisi tunachopinga hapa nikuletewa thread za upupu ..hatuzitaki!!!!!!
Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.Huyu ni tatizo nafikir kuku zimeugua kideri na sasa alichoambiwa kuwa ukianza na kuku 5 baada ya miezi sita ni milionea amekuta ni uwongo
Tafsiri ya forum ni kwamba anything posted z debatable na hivo lazima kuwe na fikra tofauti, yeye na kuku na sisi na harakati zetu
Humu wamejaa watoto CHASHA wengine tusha kaa kimya kitambo sana nakushauri achana na watoto humu.Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.
Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.
Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.
Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.
Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.
Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto hao achana nao. Wakikuwa wataelewa tuUkiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.
Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.
Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.
Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.
Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.
Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jibu hili limedhihirisha ni kias gani ulivo mtupu kichwani..Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.
Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.
Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.
Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.
Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.
Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa vi thread unavoanzisha ww havina kichwa wala miguu havina detail za msingi wala maelezo ya ushawai ata mtoto wng wa darasa la nne anaanzisha mfano leo nimekitana na muuza vitumbua mchana..nonsense kabisa kajilamgeUkiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.
Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.
Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.
Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.
Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.
Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazani unachuki binafisi na jamaa na wivu wa kike na tabia za kike na nimekushauri anzisha maada kupingana na hii kama wewe mwanaume.Sasa vi thread unavoanzisha ww havina kichwa wala miguu havina detail za msingi wala maelezo ya ushawai ata mtoto wng wa darasa la nne anaanzisha mfano leo nimekitana na muuza vitumbua mchana..nonsense kabisa kajilamge
UmeonaNazani unachuki binafisi na jamaa na wivu wa kike na tabia za kike na nimekushauri anzisha maada kupingana na hii kama wewe mwanaume.
Tabia za kike hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakupa onyo usinitukane tena dogo..endelea sasa pimbi wwNazani unachuki binafisi na jamaa na wivu wa kike na tabia za kike na nimekushauri anzisha maada kupingana na hii kama wewe mwanaume.
Tabia za kike hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ulicho kariri neno Pimbi? Nyie sijui wewe sijui ubwabwa mntafuta wanaume hadi humu?Ninakupa onyo usinitukane tena dogo..endelea sasa pimbi ww
HIVI UNALINDA WADHIFA(BRAND,STATUS) AU UNALINDA UMASIKINI??? Etiiiii Etiiiii!!!!!!
Wengi wetu tunaishia kwenye kununua vitu ambavyo vitaendelea kutoa fedha mifukon mwetu badala ya kununua vitu ambavyo vitaingiza fedha mifukon mwetu. Nafikiri hili linaweza likawa JANGA la NNE la Taifa mana Ndio kikwazo cha wengi kuwa vilevile kwa zaidi ya Miaka lukuki, kila siku wanajipa moyo hadharani huku miyoni mwao kunaungua moto kwa kutosogea mbele kimapato.....
Tunapenda sifa kuliko hali zetu za maisha, TUNAPENDA watu watuone nje tuko vizuri kwa kipato kumbe ndani ya moyo ni MAJANGA......Masifa sifa tu ya kuvaa manguo ya bei kubwa, kunua mavitu ya thamani yasio na maana yeyote.....ETI unajiambia unalinda WADHIFA(BRAND) yako, Brand gani? Hiyo inayokufanya ufe maskini etiii?....
Mwengine anapendezesha nyumba kwa kununu Tv ya milioni 3 na kujipa moyo eti hata nikila dagaa ila kwangu papendeze! sasa unajiuliza hii tv italeta pesa mfukoni kweli?.. eeeti eeetii.
Nilishangaa pale nilipomuona Rafiki yangu mwaka mmoja baada ya kuanza kazi akachukua mkopo na kukunua gari la milion 10 na huku akiwa hana hata chanzo chengine za kuingiza pesa ya mafuta, huku gari iyo ikatumika kama gari ya kupigia misele badala ya kuifanya tax bubu, huku akiwa anapata mshahara nusu kutokana na mkopo kutoka kwenye lak 5.7 had 2.8, nilipomuuliza akaniambia
"Nataka nifanane na Uafisa" Daaah!!! Kuna raha gani ya kuwa ofisa machoni mwa watu kumbe moyoni mwake anajiona Kapuku tu kwasababu anaishi kiziki kuliko kawaida.
Nashangaa nilipomuona dada mmoja miez mitatu baada ya kuanza kazi za ndani mshahara wake wote wa miezi mitatu akaenda nunua smart fon, nilipomuuliza akaniambia "Namimi nataka nimuone Wema na Diamond" Shiiiiit!!!! Daaah!
Dada huyu angenunua mashine ya kupikia Tambi za Dengu na malighafi ya unga na vyombo vya kupikia, angekuwa ametumia pesa yake vyema na kuanza kuwekeza ili baada ya muda aje kununua simu kubwa zaidi ya ile kwababu pesa yake itakuwa imejizalisha katika biashara ya Tambi.
Siku moja niliulizwa kwanini vijana hawapendi kuwekeza kwenye biashara ndogondogo ambazo mitaji yake ni midogo ambayo wanaweza kuipata kwa urahisi, jibu likawa nikawajibu 'UBISHOO.' Akaniuliza kwa kustuka
"Ubishoo??", nikamjibu ndio ubishoo kwababu kila mmoja anataka kuonekana yupo online, yupo instagram ukoo anataka aonekane amepost picha ametinga tishert kali na raba kali akiwa yupo mlimani city, city mall, Pugu Mall, Quality Center.
Jiulize mtu huyu ataweza shika mavi ya kuku kweli? ataweza kuingia kwenye tope la vitunguu au mpunga? Serious bishoo uyu hawezi kazi za kushikashika uchafu, hizi ni kazi zetu sisi washamba wa mjini.
Dada zangu wengine kila wanapenda kulinda wadhifa wasiokuwa nao!!! Sasa wigi la laki 2 lanini wakati jana umetoka kuomba pesa kwa baba ya nauli. It shame, Nguvu na akili zinaenda kwenye wigi badala ya kwenda kwenye kamzunguko wa pesa ili ilete pesa.
WENGI wetu tunaogopa kuambiana ukweli na wakati uwo uwo tunataka kusifiana tu oooh umependeza na ilo wigi mara oooh umenoga na ilo gauni hata kama tunapotea, Daaah!. Sasa TV ya Milion 3 ya nini wakati ipo ya milioni 1 au ndo unalinda WADHIFA(BRAND)?,
La nini gari linalokula mafuta mengi wakati linalokula mafuta machache lipo au ndo unalinda Brand?, Yanini Simu ya Milioni 1 Wakati ya laki 5 ipo au ndo unalinda BRAND????.....ENDELEA Kulinda Brand wenzio wanalinda vitunguu na Viazi vyao uko kilombero na mihogo yao huko kisarawe na nyanya zao ilula na mahindi yao dabaga.......
ACHANA NA BRAND BRAND Izo wewe, wekeza pesa ili pesa iwe Brand inayojilinda yenyewe.....Sifa bila pesa ni sawa na Rimoti bila TV........
SORRY Kama nimekugusa ila ELEWA Hakuna DAWA Tamu.
Kuna kitu unachotafuta kwangu..kama hukupewa malezii na wazazi wako ya kuheshimu watu..endelea sasaNdo ulicho kariri neno Pimbi? Nyie sijui wewe sijui ubwabwa mntafuta wanaume hadi humu?
Pimbi ni wewe unaye Dandia thread za wanaume wenzako.Anzisha zako kama wewe mwanaume.
Mnashibda humu kudandia post za wanaume? anzisha zako tukuone ulivyo mweupe kichwani.
Mnaficha madhaufu kwenye kudandia za wenzenu na kujifanya unajua kumbe kamasi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo changamoto za humu some time nikujifanya fala ili mambo yaande mkuu.Ndo ulicho kariri neno Pimbi? Nyie sijui wewe sijui ubwabwa mntafuta wanaume hadi humu?
Pimbi ni wewe unaye Dandia thread za wanaume wenzako.Anzisha zako kama wewe mwanaume.
Mnashibda humu kudandia post za wanaume? anzisha zako tukuone ulivyo mweupe kichwani.
Mnaficha madhaufu kwenye kudandia za wenzenu na kujifanya unajua kumbe kamasi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
kula like yangu mkuuHIVI UNALINDA WADHIFA(BRAND,STATUS) AU UNALINDA UMASIKINI??? Etiiiii Etiiiii!!!!!!
Wengi wetu tunaishia kwenye kununua vitu ambavyo vitaendelea kutoa fedha mifukon mwetu badala ya kununua vitu ambavyo vitaingiza fedha mifukon mwetu. Nafikiri hili linaweza likawa JANGA la NNE la Taifa mana Ndio kikwazo cha wengi kuwa vilevile kwa zaidi ya Miaka lukuki, kila siku wanajipa moyo hadharani huku miyoni mwao kunaungua moto kwa kutosogea mbele kimapato.....
Tunapenda sifa kuliko hali zetu za maisha, TUNAPENDA watu watuone nje tuko vizuri kwa kipato kumbe ndani ya moyo ni MAJANGA......Masifa sifa tu ya kuvaa manguo ya bei kubwa, kunua mavitu ya thamani yasio na maana yeyote.....ETI unajiambia unalinda WADHIFA(BRAND) yako, Brand gani? Hiyo inayokufanya ufe maskini etiii?....
Mwengine anapendezesha nyumba kwa kununu Tv ya milioni 3 na kujipa moyo eti hata nikila dagaa ila kwangu papendeze! sasa unajiuliza hii tv italeta pesa mfukoni kweli?.. eeeti eeetii.
Nilishangaa pale nilipomuona Rafiki yangu mwaka mmoja baada ya kuanza kazi akachukua mkopo na kukunua gari la milion 10 na huku akiwa hana hata chanzo chengine za kuingiza pesa ya mafuta, huku gari iyo ikatumika kama gari ya kupigia misele badala ya kuifanya tax bubu, huku akiwa anapata mshahara nusu kutokana na mkopo kutoka kwenye lak 5.7 had 2.8, nilipomuuliza akaniambia
"Nataka nifanane na Uafisa" Daaah!!! Kuna raha gani ya kuwa ofisa machoni mwa watu kumbe moyoni mwake anajiona Kapuku tu kwasababu anaishi kiziki kuliko kawaida.
Nashangaa nilipomuona dada mmoja miez mitatu baada ya kuanza kazi za ndani mshahara wake wote wa miezi mitatu akaenda nunua smart fon, nilipomuuliza akaniambia "Namimi nataka nimuone Wema na Diamond" Shiiiiit!!!! Daaah!
Dada huyu angenunua mashine ya kupikia Tambi za Dengu na malighafi ya unga na vyombo vya kupikia, angekuwa ametumia pesa yake vyema na kuanza kuwekeza ili baada ya muda aje kununua simu kubwa zaidi ya ile kwababu pesa yake itakuwa imejizalisha katika biashara ya Tambi.
Siku moja niliulizwa kwanini vijana hawapendi kuwekeza kwenye biashara ndogondogo ambazo mitaji yake ni midogo ambayo wanaweza kuipata kwa urahisi, jibu likawa nikawajibu 'UBISHOO.' Akaniuliza kwa kustuka
"Ubishoo??", nikamjibu ndio ubishoo kwababu kila mmoja anataka kuonekana yupo online, yupo instagram ukoo anataka aonekane amepost picha ametinga tishert kali na raba kali akiwa yupo mlimani city, city mall, Pugu Mall, Quality Center.
Jiulize mtu huyu ataweza shika mavi ya kuku kweli? ataweza kuingia kwenye tope la vitunguu au mpunga? Serious bishoo uyu hawezi kazi za kushikashika uchafu, hizi ni kazi zetu sisi washamba wa mjini.
Dada zangu wengine kila wanapenda kulinda wadhifa wasiokuwa nao!!! Sasa wigi la laki 2 lanini wakati jana umetoka kuomba pesa kwa baba ya nauli. It shame, Nguvu na akili zinaenda kwenye wigi badala ya kwenda kwenye kamzunguko wa pesa ili ilete pesa.
WENGI wetu tunaogopa kuambiana ukweli na wakati uwo uwo tunataka kusifiana tu oooh umependeza na ilo wigi mara oooh umenoga na ilo gauni hata kama tunapotea, Daaah!. Sasa TV ya Milion 3 ya nini wakati ipo ya milioni 1 au ndo unalinda WADHIFA(BRAND)?,
La nini gari linalokula mafuta mengi wakati linalokula mafuta machache lipo au ndo unalinda Brand?, Yanini Simu ya Milioni 1 Wakati ya laki 5 ipo au ndo unalinda BRAND????.....ENDELEA Kulinda Brand wenzio wanalinda vitunguu na Viazi vyao uko kilombero na mihogo yao huko kisarawe na nyanya zao ilula na mahindi yao dabaga.......
ACHANA NA BRAND BRAND Izo wewe, wekeza pesa ili pesa iwe Brand inayojilinda yenyewe.....Sifa bila pesa ni sawa na Rimoti bila TV........
SORRY Kama nimekugusa ila ELEWA Hakuna DAWA Tamu.
Ku invest kwenye elimu faida mkuu huja poteza kitu kabisaHpo mkuu umenigusa ila mi nilipopata kibarua nilimpeleka mwanangu shule moja international nikawa nalipa 2.5m kwa term , mshahara wote umeishia hapo sina kitu ila dogo anamaliza la saba mwaka huu. dogo ni kichwa balaa, sasa sijui ka na mimi nipo kwenye hilo group la mabishoo
Sent using Jamii Forums mobile app