Acha ujinga kujifanya unalinda BRAND(JINA)

Acha ujinga kujifanya unalinda BRAND(JINA)

Jifunze kuandika vizuri kwanza..sio kukurupuka tu..unajivunia kuwa verified?? Umefaidika na nn tangu wakujue unafuga kuku??u knw nutting abt business, branding ..yaani upo upo tu

Unaemtisha kuanzisha forum ako nani sasa..sisi tunachopinga hapa nikuletewa thread za upupu ..hatuzitaki!!!!!!
Ukiona mambo hayakuhusu si unapita hivi? mimi tabia yangu kama mambo hayanihusu huwa napita kimya kimya.

Ukiona hayakuhusu unapotezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jifunze kuandika vizuri kwanza..sio kukurupuka tu..unajivunia kuwa verified?? Umefaidika na nn tangu wakujue unafuga kuku??u knw nutting abt business, branding ..yaani upo upo tu

Unaemtisha kuanzisha forum ako nani sasa..sisi tunachopinga hapa nikuletewa thread za upupu ..hatuzitaki!!!!!!
wewe na nani? make umesema sisi,

Wewe na nani manao kataa? Sema mimi nakataa, au unatafuta wafuasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni tatizo nafikir kuku zimeugua kideri na sasa alichoambiwa kuwa ukianza na kuku 5 baada ya miezi sita ni milionea amekuta ni uwongo

Tafsiri ya forum ni kwamba anything posted z debatable na hivo lazima kuwe na fikra tofauti, yeye na kuku na sisi na harakati zetu
Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.

Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.

Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.

Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.

Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.

Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.

Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.

Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.

Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.

Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.

Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Humu wamejaa watoto CHASHA wengine tusha kaa kimya kitambo sana nakushauri achana na watoto humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.

Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.

Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.

Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.

Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.

Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto hao achana nao. Wakikuwa wataelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.

Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.

Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.

Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.

Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.

Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jibu hili limedhihirisha ni kias gani ulivo mtupu kichwani..

Yaani ww kumbe unaanzisha hoja za kipuuzi ili watu wakitokea wengi kupinga upuuzi wako ndio unaona na ww ni mjanjaa..very nonsense

Kwangu mm thread ambazo zina wachangiaji wachache ni tjread zenye ukweli mtupu, maana ake mtu katumia muda kufikir nenda kwenye international forum au great thinkers wachangiaji ni wachache sabab kitu kiko real..sasa ww unapost upupu ukijaza kurasa 10 unajiona unaakili..watu wanajaa kukupinga undezi wako
Angalia wanaokusapoti ni wangapi na wanaokupinga nj wengi
Kumbe ww ni mtupu kichwan kias hiki ndiosaabab unafiga karaga na kunywa uji akili haifikir
 
Ukiona unakereka na Thread za watu unanzisha zako. Mimi ndo huwa nafanya hivyo.

Ukiona tu thread ni ya kupuuzi anzisha yako ya kijanja watu wachangie.

Make mnaponda ila kuanzisha au kuotoa hoja hakuna.

Toa suluhisho na ikibidi anzisha thread ya kuonyesha kupingana kama wanavyo fanya jujwaa la Siasa.

Au uwezo ndo shida? Make kuanzisha sio thread sio ishi ishu ni upate wachangiaji.

Nina thread ziki Strict tena Mbili. Waulize Ma Adimin wakupe vigezo vya Thread kuwa hivyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa vi thread unavoanzisha ww havina kichwa wala miguu havina detail za msingi wala maelezo ya ushawai ata mtoto wng wa darasa la nne anaanzisha mfano leo nimekitana na muuza vitumbua mchana..nonsense kabisa kajilamge
 
Sasa vi thread unavoanzisha ww havina kichwa wala miguu havina detail za msingi wala maelezo ya ushawai ata mtoto wng wa darasa la nne anaanzisha mfano leo nimekitana na muuza vitumbua mchana..nonsense kabisa kajilamge
Nazani unachuki binafisi na jamaa na wivu wa kike na tabia za kike na nimekushauri anzisha maada kupingana na hii kama wewe mwanaume.

Tabia za kike hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakupa onyo usinitukane tena dogo..endelea sasa pimbi ww
Ndo ulicho kariri neno Pimbi? Nyie sijui wewe sijui ubwabwa mntafuta wanaume hadi humu?

Pimbi ni wewe unaye Dandia thread za wanaume wenzako.Anzisha zako kama wewe mwanaume.

Mnashibda humu kudandia post za wanaume? anzisha zako tukuone ulivyo mweupe kichwani.

Mnaficha madhaufu kwenye kudandia za wenzenu na kujifanya unajua kumbe kamasi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIVI UNALINDA WADHIFA(BRAND,STATUS) AU UNALINDA UMASIKINI??? Etiiiii Etiiiii!!!!!!

Wengi wetu tunaishia kwenye kununua vitu ambavyo vitaendelea kutoa fedha mifukon mwetu badala ya kununua vitu ambavyo vitaingiza fedha mifukon mwetu. Nafikiri hili linaweza likawa JANGA la NNE la Taifa mana Ndio kikwazo cha wengi kuwa vilevile kwa zaidi ya Miaka lukuki, kila siku wanajipa moyo hadharani huku miyoni mwao kunaungua moto kwa kutosogea mbele kimapato.....

Tunapenda sifa kuliko hali zetu za maisha, TUNAPENDA watu watuone nje tuko vizuri kwa kipato kumbe ndani ya moyo ni MAJANGA......Masifa sifa tu ya kuvaa manguo ya bei kubwa, kunua mavitu ya thamani yasio na maana yeyote.....ETI unajiambia unalinda WADHIFA(BRAND) yako, Brand gani? Hiyo inayokufanya ufe maskini etiii?....

Mwengine anapendezesha nyumba kwa kununu Tv ya milioni 3 na kujipa moyo eti hata nikila dagaa ila kwangu papendeze! sasa unajiuliza hii tv italeta pesa mfukoni kweli?.. eeeti eeetii.

Nilishangaa pale nilipomuona Rafiki yangu mwaka mmoja baada ya kuanza kazi akachukua mkopo na kukunua gari la milion 10 na huku akiwa hana hata chanzo chengine za kuingiza pesa ya mafuta, huku gari iyo ikatumika kama gari ya kupigia misele badala ya kuifanya tax bubu, huku akiwa anapata mshahara nusu kutokana na mkopo kutoka kwenye lak 5.7 had 2.8, nilipomuuliza akaniambia

"Nataka nifanane na Uafisa" Daaah!!! Kuna raha gani ya kuwa ofisa machoni mwa watu kumbe moyoni mwake anajiona Kapuku tu kwasababu anaishi kiziki kuliko kawaida.

Nashangaa nilipomuona dada mmoja miez mitatu baada ya kuanza kazi za ndani mshahara wake wote wa miezi mitatu akaenda nunua smart fon, nilipomuuliza akaniambia "Namimi nataka nimuone Wema na Diamond" Shiiiiit!!!! Daaah!

Dada huyu angenunua mashine ya kupikia Tambi za Dengu na malighafi ya unga na vyombo vya kupikia, angekuwa ametumia pesa yake vyema na kuanza kuwekeza ili baada ya muda aje kununua simu kubwa zaidi ya ile kwababu pesa yake itakuwa imejizalisha katika biashara ya Tambi.

Siku moja niliulizwa kwanini vijana hawapendi kuwekeza kwenye biashara ndogondogo ambazo mitaji yake ni midogo ambayo wanaweza kuipata kwa urahisi, jibu likawa nikawajibu 'UBISHOO.' Akaniuliza kwa kustuka

"Ubishoo??", nikamjibu ndio ubishoo kwababu kila mmoja anataka kuonekana yupo online, yupo instagram ukoo anataka aonekane amepost picha ametinga tishert kali na raba kali akiwa yupo mlimani city, city mall, Pugu Mall, Quality Center.

Jiulize mtu huyu ataweza shika mavi ya kuku kweli? ataweza kuingia kwenye tope la vitunguu au mpunga? Serious bishoo uyu hawezi kazi za kushikashika uchafu, hizi ni kazi zetu sisi washamba wa mjini.

Dada zangu wengine kila wanapenda kulinda wadhifa wasiokuwa nao!!! Sasa wigi la laki 2 lanini wakati jana umetoka kuomba pesa kwa baba ya nauli. It shame, Nguvu na akili zinaenda kwenye wigi badala ya kwenda kwenye kamzunguko wa pesa ili ilete pesa.

WENGI wetu tunaogopa kuambiana ukweli na wakati uwo uwo tunataka kusifiana tu oooh umependeza na ilo wigi mara oooh umenoga na ilo gauni hata kama tunapotea, Daaah!. Sasa TV ya Milion 3 ya nini wakati ipo ya milioni 1 au ndo unalinda WADHIFA(BRAND)?,

La nini gari linalokula mafuta mengi wakati linalokula mafuta machache lipo au ndo unalinda Brand?, Yanini Simu ya Milioni 1 Wakati ya laki 5 ipo au ndo unalinda BRAND????.....ENDELEA Kulinda Brand wenzio wanalinda vitunguu na Viazi vyao uko kilombero na mihogo yao huko kisarawe na nyanya zao ilula na mahindi yao dabaga.......

ACHANA NA BRAND BRAND Izo wewe, wekeza pesa ili pesa iwe Brand inayojilinda yenyewe.....Sifa bila pesa ni sawa na Rimoti bila TV........

SORRY Kama nimekugusa ila ELEWA Hakuna DAWA Tamu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo ulicho kariri neno Pimbi? Nyie sijui wewe sijui ubwabwa mntafuta wanaume hadi humu?

Pimbi ni wewe unaye Dandia thread za wanaume wenzako.Anzisha zako kama wewe mwanaume.

Mnashibda humu kudandia post za wanaume? anzisha zako tukuone ulivyo mweupe kichwani.

Mnaficha madhaufu kwenye kudandia za wenzenu na kujifanya unajua kumbe kamasi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu unachotafuta kwangu..kama hukupewa malezii na wazazi wako ya kuheshimu watu..endelea sasa
 
Ndo ulicho kariri neno Pimbi? Nyie sijui wewe sijui ubwabwa mntafuta wanaume hadi humu?

Pimbi ni wewe unaye Dandia thread za wanaume wenzako.Anzisha zako kama wewe mwanaume.

Mnashibda humu kudandia post za wanaume? anzisha zako tukuone ulivyo mweupe kichwani.

Mnaficha madhaufu kwenye kudandia za wenzenu na kujifanya unajua kumbe kamasi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo changamoto za humu some time nikujifanya fala ili mambo yaande mkuu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIVI UNALINDA WADHIFA(BRAND,STATUS) AU UNALINDA UMASIKINI??? Etiiiii Etiiiii!!!!!!

Wengi wetu tunaishia kwenye kununua vitu ambavyo vitaendelea kutoa fedha mifukon mwetu badala ya kununua vitu ambavyo vitaingiza fedha mifukon mwetu. Nafikiri hili linaweza likawa JANGA la NNE la Taifa mana Ndio kikwazo cha wengi kuwa vilevile kwa zaidi ya Miaka lukuki, kila siku wanajipa moyo hadharani huku miyoni mwao kunaungua moto kwa kutosogea mbele kimapato.....

Tunapenda sifa kuliko hali zetu za maisha, TUNAPENDA watu watuone nje tuko vizuri kwa kipato kumbe ndani ya moyo ni MAJANGA......Masifa sifa tu ya kuvaa manguo ya bei kubwa, kunua mavitu ya thamani yasio na maana yeyote.....ETI unajiambia unalinda WADHIFA(BRAND) yako, Brand gani? Hiyo inayokufanya ufe maskini etiii?....

Mwengine anapendezesha nyumba kwa kununu Tv ya milioni 3 na kujipa moyo eti hata nikila dagaa ila kwangu papendeze! sasa unajiuliza hii tv italeta pesa mfukoni kweli?.. eeeti eeetii.

Nilishangaa pale nilipomuona Rafiki yangu mwaka mmoja baada ya kuanza kazi akachukua mkopo na kukunua gari la milion 10 na huku akiwa hana hata chanzo chengine za kuingiza pesa ya mafuta, huku gari iyo ikatumika kama gari ya kupigia misele badala ya kuifanya tax bubu, huku akiwa anapata mshahara nusu kutokana na mkopo kutoka kwenye lak 5.7 had 2.8, nilipomuuliza akaniambia

"Nataka nifanane na Uafisa" Daaah!!! Kuna raha gani ya kuwa ofisa machoni mwa watu kumbe moyoni mwake anajiona Kapuku tu kwasababu anaishi kiziki kuliko kawaida.

Nashangaa nilipomuona dada mmoja miez mitatu baada ya kuanza kazi za ndani mshahara wake wote wa miezi mitatu akaenda nunua smart fon, nilipomuuliza akaniambia "Namimi nataka nimuone Wema na Diamond" Shiiiiit!!!! Daaah!

Dada huyu angenunua mashine ya kupikia Tambi za Dengu na malighafi ya unga na vyombo vya kupikia, angekuwa ametumia pesa yake vyema na kuanza kuwekeza ili baada ya muda aje kununua simu kubwa zaidi ya ile kwababu pesa yake itakuwa imejizalisha katika biashara ya Tambi.

Siku moja niliulizwa kwanini vijana hawapendi kuwekeza kwenye biashara ndogondogo ambazo mitaji yake ni midogo ambayo wanaweza kuipata kwa urahisi, jibu likawa nikawajibu 'UBISHOO.' Akaniuliza kwa kustuka

"Ubishoo??", nikamjibu ndio ubishoo kwababu kila mmoja anataka kuonekana yupo online, yupo instagram ukoo anataka aonekane amepost picha ametinga tishert kali na raba kali akiwa yupo mlimani city, city mall, Pugu Mall, Quality Center.

Jiulize mtu huyu ataweza shika mavi ya kuku kweli? ataweza kuingia kwenye tope la vitunguu au mpunga? Serious bishoo uyu hawezi kazi za kushikashika uchafu, hizi ni kazi zetu sisi washamba wa mjini.

Dada zangu wengine kila wanapenda kulinda wadhifa wasiokuwa nao!!! Sasa wigi la laki 2 lanini wakati jana umetoka kuomba pesa kwa baba ya nauli. It shame, Nguvu na akili zinaenda kwenye wigi badala ya kwenda kwenye kamzunguko wa pesa ili ilete pesa.

WENGI wetu tunaogopa kuambiana ukweli na wakati uwo uwo tunataka kusifiana tu oooh umependeza na ilo wigi mara oooh umenoga na ilo gauni hata kama tunapotea, Daaah!. Sasa TV ya Milion 3 ya nini wakati ipo ya milioni 1 au ndo unalinda WADHIFA(BRAND)?,

La nini gari linalokula mafuta mengi wakati linalokula mafuta machache lipo au ndo unalinda Brand?, Yanini Simu ya Milioni 1 Wakati ya laki 5 ipo au ndo unalinda BRAND????.....ENDELEA Kulinda Brand wenzio wanalinda vitunguu na Viazi vyao uko kilombero na mihogo yao huko kisarawe na nyanya zao ilula na mahindi yao dabaga.......

ACHANA NA BRAND BRAND Izo wewe, wekeza pesa ili pesa iwe Brand inayojilinda yenyewe.....Sifa bila pesa ni sawa na Rimoti bila TV........

SORRY Kama nimekugusa ila ELEWA Hakuna DAWA Tamu.
kula like yangu mkuu
 
Mimi nilianza na gari japo moyoni nikawa naogopa kurukia hatua kubwa kabla ya ndogo chaajabu hata sikuitumia gari yangu hata miezi miwili akaibuka mtu akanipa gari kisa aliniona tayari ninauwezo wakumiliki gari basi nikajikuta ghafla nina magari mawili hapo ikabidi lile gari langu nilikodishe nibaki na la shemela likaanza kuniingizia hela hadi nikaona biashara ndio hii, nikawa nakodisha na lilenilopewa hadi mwenyewe alivyostukia nikokibiashara zaidi kuliko kiluxury akaliuza, kununua kwangu gari ilikua ni zari yaani. Kila mtu na mipango yake na mtazamo wake ila uoga wa maisha hautakiwi kwahiyo uogope kununua simu eti kisa maisha bado wakati simu inakuingizia hela kiruuuuuu
 
Bandiko zuri. However, kwa mtazamo wangu... kila mtu ana priorities zake za kimaisha as per his/her comfortability, goals and vision.
Life is something dynamic. Hakunaga 'formula' moja ya kutusua kimaisha kwamba kila mtu should begin with.
Life has a lot of options. Mostly important is to double-click our folders of thinking & consciousness when setting priorities za kimaisha.
The bottom line is... kila mtu ana vipaumbele vyake kimaisha, pursuant to comfortability, goals, and vision.

-Kaveli-
 
Hpo mkuu umenigusa ila mi nilipopata kibarua nilimpeleka mwanangu shule moja international nikawa nalipa 2.5m kwa term , mshahara wote umeishia hapo sina kitu ila dogo anamaliza la saba mwaka huu. dogo ni kichwa balaa, sasa sijui ka na mimi nipo kwenye hilo group la mabishoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ku invest kwenye elimu faida mkuu huja poteza kitu kabisa
 
Back
Top Bottom